Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Kuwa mwangalifu. Siku hixi mabinti wanaolewa hata mara saba kwani ndoa hazijaunganishwa NIDA.

mara nyingi mabinti hawa hupenda kujuwa kama una kazi...una mshahara na unakopesheka.....

Akiishajuwa mnaoana....anakyshawishi uchukuwe mkopo umpe afanye biashara....wengine miongoni mwa mabinti hawa wana biashara nzuri tu na wamefanikiwa japo mtaji wao ulipatikana kwa njia hii hii...wakati unaprocess mkopo yeye anakuwa busy kikupost kwenye facebook na insta..na status ya whatup kwsmba kapata mwenzi wa maisha upweke sasa basiii....wewe kichwa inavimba unaongeza kasi mkopo utoke


Akiishapata mkopo anaanzs kukuletea vya kuletwa inabakia mateso kwako. Hupewi hesabu wala faida hujui...ukimuhoji sana anakuvunjia chupa ya bia kichwani. Au anakuambia eenzio wanaeafungulia wapenzi wao biashara na hawafuatiloi..Utachagua umuache na mkopo utembee zako au umganganie aendelee kukutesa. ..... utaendelea kulipa mkopo hadi uishe...Wengi huwa wanasepa na kilio.

Una bahati huyo wako bado.mshamba ila anakoenda ni huko huko.....tafakari...chukuwa hatua...tunamfungulia biz mwanamke aliyetuxalia mtoto ili hata ukikaukiwa maziwa yaendelee kuwepo
 
Wewe kabila gani?


Kwenye kabila letu mjanja yaweza kuwa mimi tu, mtu anakuweka reserve na wewe upo tu.
Daah eti "uza nyumba unifungulie biashara" yaani kirahisi tu.
Hakika anakudharau na kukuona tonji.
ghahaaa mkuu nn maana ya tonji!?
 
habari ya majukum wanajukwaa wenzangu, ni msichana ambae nimetumia muda mrefu sana kumpata tangu nikiwa sina kitu hadi sasa hivi angalau kidogo nasema nina uhakika wa matumizi ya kawaida ya kwangu na ya kwake pia.

Kwa mara ya kwanza nilionana nae Arusha mwaka 2017 nikiwa kwenye mishe mishe za kuhangaikia maisha yangu kwa maana kipindi hicho nilikuwa sina kazi rasmi ya kufanya kulingana na taaluma yangu niliosomea.

Nlimpenda sana nikavutiwa nae hadi nika fight kupata japo masaa mawili ya kuzungumza nae nimweleze ya moyoni. Ilikuwa ni moment ngumu sana kwangu kulifanikisha hilo ila nashukuru niliweza kuzungumza nae nikamfahamu kwa jina lake na akanipa namba yake ya simu.

Tuliendelea kuwasiliana ili kufahamiana zaidi na alinieleza kuwa yeye anaishi Dar Es Salaam ila Arusha amekuja tu kwa dada yake kumsalimia.

Niliendelea kukomaa nikamueleza kuhusu upendo wangu kwake na kama yupo tayari tuwe wachumba mambo yakiwa fresh tutafunga ndoa.

Alionekana kuwa mzito sana kutoa jibu akidai kwamba nimpe muda afikirie akipata muafaka mzuri atanifahamisha.

Kwangu haikuwa tatizo kusubiri japo changamoto iliyokuwepo alipunguza mawasiliano na kila nilipomkumbusha alijibu kwa ufupi sana kwamba mambo mazuri hayahitaji haraka kwa hiyo niliendelea kusubiri akiwa poa ataniambia.

Badae niliona kama atanipotezea muda nikaamua niachane nae niendelee na maisha mengine. Mwaka 2018 January nilifanikiwa kupata kazi kwenye taasisi moja ya private ambayo ndio nafanya kazi mpaka sasa hivi.

Maisha yali change kiukweli in positive way japo mshahara sio mkubwa kivile ila unatosha kutatua changamoto ndogo ndogo.

Hatukuwasiliana kwa muda mrefu sana ila mwezi wa tisa 2018 alianza kunitafuta whatsapp akidai amenimiss na ananipa hi tu.

Kwa akili yangu niliona nikomae nae tena nione muafaka unakuaje, hapo alikubali kuwa na mimi lakini tucheki time ya kuonana tuzungumze zaidi. Nikaona fresh haina shida tukapanga tuonane Morogoro japo alisita sita ila alikuja tukapiga story nyingi sana za life, nilikaa nae kwa siku tatu.

Katika vitu alivyoniambia moja nakumbuka alisema anatamani sana nikimuoa nimfungulie biashara ya kufanya, so long ni mipango ya badae hiyo haikuwa tatizo kwangu.

Baada ya hapo alirudi Dar na mimi nikarudi Arusha maisha yakaendelea. Miezi miwili badae alibadilika tena na kuwa kama mtu ambae anakosa time na mimi kila mara yuko busy na mambo yake, iliniuma sana lakini sikuwa na namna nikamuacha tu.

Uamuzi nilioufanya kipindi hicho ilikuwa kuachana na ishu za mapenzi kwanza nifanye mambo ya maendeleo. Nikatafuta kiwanja mapema 2019 nikaanza ujenzi wa nyumba ya kawaida ya kuanzia maisha ambao ulinichukua miezi nane mpaka kupiga bati.

Mwezi wa kumi 2019 alianza kunitafuta tena kwa fujo sana akidai kuwa anataka aje kupaona ninakoishi. Nilikubali aje ila kwa condition moja akija tucheki afya kwanza ndio mambo mengine yaendelee.

Alikubali yote lakini sasa alipokuja alikuja na begi la nguo kama mtu ambae anahamia kabisa. Tulicheki afya nashukuru mambo yalikuwa mazuri nikaamua tukae tu home tuendelee kuyapanga.

Alikaa mwezi mzima na wiki mbili tukapanga mambo mengi sana toka mwezi wa 10 mwishoni hadi mwezi wa 12 mwanzoni ila kilichonishangaza zaidi aliniuliza mara nyingi sana kuhusu mshahara wangu kazini anataka kujua nalipwa sh ngapi.

Tukapanga nicheki pesa ya mahari, ikikamilika niende kwao nikajitambulishe tuandae harusi ikiwezekana tufunge ndoa mwaka huu 2020 na biashara yake akija mara nyingine aikute.

Nilimueleza ukweli kwamba hivyo vitu kuwezekana kwa wakati mmoja ni ngumu sana na nikiangalia nipo kwenye ujenzi kwa hiyo avumilie tutafanya kimoja kimoja hadi vitakamilika vyote. Alinielewa akaondoka kiroho safi kabisa.

Tangu mwaka uanze huu tuna ugomvi anataka biashara ya kufanya,kila saa yeye biashara tu na nyumba yangu anasema ni iuze tutafute kiwanja Dar tujenge yeye hawezi kuishi mikoani nyumba ipo location mbovu.

Hapa mahari nimepata lakini nina wasiwasi mkubwa sana kuhusu huyu mwanamke, nina nia ya kumuoa ila anaonekana ana tamaa sana. Nampenda sana ila nahisi kukata tamaa kabisa.

Tuna one week sasa hivi hatujawasiliana.
Dogo upo kwa ajili y kutimiza ndoto Zake.....take care

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu,nadhani hata unavyoandika wewe mwenyewe roho yako inakuambua hapo hakuna mwanamke,kama anakuonyesha hivyo wakati wa uchumba imagine mkiwa wote ndani yani anahaki zote kama mke,si atakupelekesha sana mkuu?

Maumivu ya sasa ni bora kuliko majuto ya milele.
 
Kuwa mwangalifu. Siku hixi mabinti wanaolewa hata mara saba kwani ndoa hazijaunganishwa NIDA.

mara nyingi mabinti hawa hupenda kujuwa kama una kazi...una mshahara na unakopesheka.....

Akiishajuwa mnaoana....anakyshawishi uchukuwe mkopo umpe afanye biashara....wengine miongoni mwa mabinti hawa wana biashara nzuri tu na wamefanikiwa japo mtaji wao ulipatikana kwa njia hii hii...wakati unaprocess mkopo yeye anakuwa busy kikupost kwenye facebook na insta..na status ya whatup kwsmba kapata mwenzi wa maisha upweke sasa basiii....wewe kichwa inavimba unaongeza kasi mkopo utoke


Akiishapata mkopo anaanzs kukuletea vya kuletwa inabakia mateso kwako. Hupewi hesabu wala faida hujui...ukimuhoji sana anakuvunjia chupa ya bia kichwani. Au anakuambia eenzio wanaeafungulia wapenzi wao biashara na hawafuatiloi..Utachagua umuache na mkopo utembee zako au umganganie aendelee kukutesa. ..... utaendelea kulipa mkopo hadi uishe...Wengi huwa wanasepa na kilio.

Una bahati huyo wako bado.mshamba ila anakoenda ni huko huko.....tafakari...chukuwa hatua...tunamfungulia biz mwanamke aliyetuxalia mtoto ili hata ukikaukiwa maziwa yaendelee kuwepo
Ni kweli boss, anajiona mjanja ila ni mshamba tu yulee
 
Pole mkuu,nadhani hata unavyoandika wewe mwenyewe roho yako inakuambua hapo hakuna mwanamke,kama anakuonyesha hivyo wakati wa uchumba imagine mkiwa wote ndani yani anahaki zote kama mke,si atakupelekesha sana mkuu?

Maumivu ya sasa ni bora kuliko majuto ya milele.
Good advice... asije kuniharibia kazi bure
 
habari ya majukum wanajukwaa wenzangu, ni msichana ambae nimetumia muda mrefu sana kumpata tangu nikiwa sina kitu hadi sasa hivi angalau kidogo nasema nina uhakika wa matumizi ya kawaida ya kwangu na ya kwake pia.

Kwa mara ya kwanza nilionana nae Arusha mwaka 2017 nikiwa kwenye mishe mishe za kuhangaikia maisha yangu kwa maana kipindi hicho nilikuwa sina kazi rasmi ya kufanya kulingana na taaluma yangu niliosomea.

Nlimpenda sana nikavutiwa nae hadi nika fight kupata japo masaa mawili ya kuzungumza nae nimweleze ya moyoni. Ilikuwa ni moment ngumu sana kwangu kulifanikisha hilo ila nashukuru niliweza kuzungumza nae nikamfahamu kwa jina lake na akanipa namba yake ya simu.

Tuliendelea kuwasiliana ili kufahamiana zaidi na alinieleza kuwa yeye anaishi Dar Es Salaam ila Arusha amekuja tu kwa dada yake kumsalimia.

Niliendelea kukomaa nikamueleza kuhusu upendo wangu kwake na kama yupo tayari tuwe wachumba mambo yakiwa fresh tutafunga ndoa.

Alionekana kuwa mzito sana kutoa jibu akidai kwamba nimpe muda afikirie akipata muafaka mzuri atanifahamisha.

Kwangu haikuwa tatizo kusubiri japo changamoto iliyokuwepo alipunguza mawasiliano na kila nilipomkumbusha alijibu kwa ufupi sana kwamba mambo mazuri hayahitaji haraka kwa hiyo niliendelea kusubiri akiwa poa ataniambia.

Badae niliona kama atanipotezea muda nikaamua niachane nae niendelee na maisha mengine. Mwaka 2018 January nilifanikiwa kupata kazi kwenye taasisi moja ya private ambayo ndio nafanya kazi mpaka sasa hivi.

Maisha yali change kiukweli in positive way japo mshahara sio mkubwa kivile ila unatosha kutatua changamoto ndogo ndogo.

Hatukuwasiliana kwa muda mrefu sana ila mwezi wa tisa 2018 alianza kunitafuta whatsapp akidai amenimiss na ananipa hi tu.

Kwa akili yangu niliona nikomae nae tena nione muafaka unakuaje, hapo alikubali kuwa na mimi lakini tucheki time ya kuonana tuzungumze zaidi. Nikaona fresh haina shida tukapanga tuonane Morogoro japo alisita sita ila alikuja tukapiga story nyingi sana za life, nilikaa nae kwa siku tatu.

Katika vitu alivyoniambia moja nakumbuka alisema anatamani sana nikimuoa nimfungulie biashara ya kufanya, so long ni mipango ya badae hiyo haikuwa tatizo kwangu.

Baada ya hapo alirudi Dar na mimi nikarudi Arusha maisha yakaendelea. Miezi miwili badae alibadilika tena na kuwa kama mtu ambae anakosa time na mimi kila mara yuko busy na mambo yake, iliniuma sana lakini sikuwa na namna nikamuacha tu.

Uamuzi nilioufanya kipindi hicho ilikuwa kuachana na ishu za mapenzi kwanza nifanye mambo ya maendeleo. Nikatafuta kiwanja mapema 2019 nikaanza ujenzi wa nyumba ya kawaida ya kuanzia maisha ambao ulinichukua miezi nane mpaka kupiga bati.

Mwezi wa kumi 2019 alianza kunitafuta tena kwa fujo sana akidai kuwa anataka aje kupaona ninakoishi. Nilikubali aje ila kwa condition moja akija tucheki afya kwanza ndio mambo mengine yaendelee.

Alikubali yote lakini sasa alipokuja alikuja na begi la nguo kama mtu ambae anahamia kabisa. Tulicheki afya nashukuru mambo yalikuwa mazuri nikaamua tukae tu home tuendelee kuyapanga.

Alikaa mwezi mzima na wiki mbili tukapanga mambo mengi sana toka mwezi wa 10 mwishoni hadi mwezi wa 12 mwanzoni ila kilichonishangaza zaidi aliniuliza mara nyingi sana kuhusu mshahara wangu kazini anataka kujua nalipwa sh ngapi.

Tukapanga nicheki pesa ya mahari, ikikamilika niende kwao nikajitambulishe tuandae harusi ikiwezekana tufunge ndoa mwaka huu 2020 na biashara yake akija mara nyingine aikute.

Nilimueleza ukweli kwamba hivyo vitu kuwezekana kwa wakati mmoja ni ngumu sana na nikiangalia nipo kwenye ujenzi kwa hiyo avumilie tutafanya kimoja kimoja hadi vitakamilika vyote. Alinielewa akaondoka kiroho safi kabisa.

Tangu mwaka uanze huu tuna ugomvi anataka biashara ya kufanya,kila saa yeye biashara tu na nyumba yangu anasema ni iuze tutafute kiwanja Dar tujenge yeye hawezi kuishi mikoani nyumba ipo location mbovu.

Hapa mahari nimepata lakini nina wasiwasi mkubwa sana kuhusu huyu mwanamke, nina nia ya kumuoa ila anaonekana ana tamaa sana. Nampenda sana ila nahisi kukata tamaa kabisa.

Tuna one week sasa hivi hatujawasiliana.
Ushaur wangu nikwamba najua unampenda hasa huyo mwanamke ,lkn jaribu kua nae Makin inavyo onekana huyo mwanamke kwanza ni mtu wa starehe sanaaa.sasa usije kuthubut ukauza hiyo nyumba eti kisa tu kasema mkajenge dar.pambana pata pesa kajenge anakotaka lkn nyumba ya huko mikoan usithubut kuuza utaja juta ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaur wangu nikwamba najua unampenda hasa huyo mwanamke ,lkn jaribu kua nae Makin inavyo onekana huyo mwanamke kwanza ni mtu wa starehe sanaaa.sasa usije kuthubut ukauza hiyo nyumba eti kisa tu kasema mkajenge dar.pambana pata pesa kajenge anakotaka lkn nyumba ya huko mikoan usithubut kuuza utaja juta ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntapambania mambo mengine Dar sitajenga labda Mungu anishushie mamilioni
 
Ntapambania mambo mengine Dar sitajenga labda Mungu anishushie mamilioni
Mkuu,humu utapata kila aina ya ushauri ila maamuzi yanabaki kua ni ya kwako,wewe ndiye muamuzi wa hatma ya maisha yako,jaribu kuwashirikisha wazazi wako pia,jaribu kuichunguza familia ya huyo mwanamke,

Mpaka kufikia hapa na kwa kufuatilia comment zako,inaonekana kabisa kua haupo tayari kuachana na huyo mwanamke japo unajipa moyo kwenye baadhi ya comment kua utafuata ushauri wa kumuacha,

Kumbuka haya ni maisha yako na yanakuhusu wewe tu,kila mtu ana maisha yake,tutakupa ushauri but the rest is up to you,

Plan well before u start the journey,in every walk of life,
Remember the Carpenter & Tailor's rules...
Measure twice But Cut Once.
 
Mkuu,humu utapata kila aina ya ushauri ila maamuzi yanabaki kua ni ya kwako,wewe ndiye muamuzi wa hatma ya maisha yako,jaribu kuwashirikisha wazazi wako pia,jaribu kuichunguza familia ya huyo mwanamke,

Mpaka kufikia hapa na kwa kufuatilia comment zako,inaonekana kabisa kua haupo tayari kuachana na huyo mwanamke japo unajipa moyo kwenye baadhi ya comment kua utafuata ushauri wa kumuacha,

Kumbuka haya ni maisha yako na yanakuhusu wewe tu,kila mtu ana maisha yake,tutakupa ushauri but the rest is up to you,

Plan well before u start the journey,in every walk of life,
Remember the Carpenter & Tailor's rules...
Measure twice But Cut Once.
I will work on it brother, ila nachoka sana... ukiona hadi nmeamua kulisema humu ujue nina mzigo mzito sana ambao unanipa stress, hadi nashindwa kuendelea mbele na huyu mwanamke atakuja kuniua mapema
 
I will work on it brother, ila nachoka sana... ukiona hadi nmeamua kulisema humu ujue nina mzigo mzito sana ambao unanipa stress, hadi nashindwa kuendelea mbele na huyu mwanamke atakuja kuniua mapema
Huu ni muda wako wa kua strong zaidi na kua karibu na Mungu,
Good luck brother.
 
Mkuu,humu utapata kila aina ya ushauri ila maamuzi yanabaki kua ni ya kwako,wewe ndiye muamuzi wa hatma ya maisha yako,jaribu kuwashirikisha wazazi wako pia,jaribu kuichunguza familia ya huyo mwanamke,

Mpaka kufikia hapa na kwa kufuatilia comment zako,inaonekana kabisa kua haupo tayari kuachana na huyo mwanamke japo unajipa moyo kwenye baadhi ya comment kua utafuata ushauri wa kumuacha,

Kumbuka haya ni maisha yako na yanakuhusu wewe tu,kila mtu ana maisha yake,tutakupa ushauri but the rest is up to you,

Plan well before u start the journey,in every walk of life,
Remember the Carpenter & Tailor's rules...
Measure twice But Cut Once.
Remember the Carpenter & Tailor's rules...
Measure twice But Cut Once.

very logic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom