Kweli cc makomando wakati mwingi sio wa2 wa show off,alafu mm ni komando john haswaa ukitaka kunijua vizuri we niletee utani wa kijinga nakuvunja vunja alafu napotea ktk mazingira ya utatanish.wako comando kutoka idodomya.
Kupewa nafasi ya kuwa msemaji mkuu ktk familia,hata kama ndugu yako ni mkubwa kwko na ana mawazo mazuri kuliko wewe ataambiwa atulie kukupisha wewe mwenye fweza hata kama unaongea rubbish utaskilizwa hivyo hivyo mpaka kikao kinakwisha vilevile japo kaongea pumba ndugu watampigia makofi vigele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.