Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
Na nilikuwa nimepanga mwaka huu nisex kwa kwenda mbele
Mambo gani tena haya
Mambo gani tena haya
kabsaBaada ya majaribio ya kile cha korona kugonga mwamba
Yale mamiti ya amazon yaliyoungua uzito wake utafidiwa na nani kama tusipozaana Teh!!akili zangu darasa la nne B zimeniambia wazungu wanataka kupunguza idadi ya watu ili dunia iweze kuelea vizuri kwenye muhimili wake.
kwa sasa binadamu tupo wengi kiasi cha kupelekea dunia kuzidiwa na uzito.
Kwa ujinga wako unajua Korona ilianzia ulaya!akili zangu darasa la nne B zimeniambia wazungu wanataka kupunguza idadi ya watu ili dunia iweze kuelea vizuri kwenye muhimili wake.
kwa sasa binadamu tupo wengi kiasi cha kupelekea dunia kuzidiwa na uzito.
Mmekwisha wazinzi!Kama hizi habari ni za kweli tumekwisha!
Sasa Mzee si ndo amekuletea taarifa ili wewe na mimi tufuatilie undani wake?!!,Sasa unataka kutafuniwa kila kitu?.Ulivyoikuta huko, ukaileta hapa bila hata kwenda kutafuta more informations.
Unasababisha taharuki kwa watu.
Bure kabisaaaaa...
Unasema hakina dawa, wakati dawa zipo.
Bure kabisaaaaa...
Vijana wa ovyoovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wangese hawataki tupate Raha!!!Mwenye project ya Corona ameonekana anafaidi mpunga! Sasa mwenye project ya Ukimwi nae kasema hakubali
yani waafrika sijui tumewakosea nini hawa wazungu, wanatuwinda kweli kutuangamiza na sisi wala hatuna habari nao kwa loloteWaafrika mnatafutwa kwa kila njia na kwa mbinu zote, sijui nini kinawafanya msidhurike kwa kiasi kikubwa pamoja na kuundwa hizi laboratory weapons ili ziwamalize lakini wapi.