Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo mtu ukiwa huna kitu hakuna binadamu atayejishughulisha nawe ila ukipata tegemea yafuatayo:
1. Ndugu au marafiki kukushawishi uingie kwenye biashara fulani hivi ambao wao wanaona zinalipa.
2. Ndugu na marafiki kukupa taarifa za kibiashara kuhusu viwanja, nyumba, wapi vinauzwa
3. Ndugu na marafiki kukushirikisha katika mipango yao ya kuoa au kuolewa.
4. Ndugu na marafiki kukuona wewe ndio kama msaada katika maisha yao na chochote ufanyacho juu yao hukwambia Mungu akubariki
5. Kila siku tegemea kupokea simu zaidi ya kumi ya ndugu jamaa na marafiki kukujulia hali na kukusalimia.
Haya endeleeaaaaaaaa
1. Ndugu au marafiki kukushawishi uingie kwenye biashara fulani hivi ambao wao wanaona zinalipa.
2. Ndugu na marafiki kukupa taarifa za kibiashara kuhusu viwanja, nyumba, wapi vinauzwa
3. Ndugu na marafiki kukushirikisha katika mipango yao ya kuoa au kuolewa.
4. Ndugu na marafiki kukuona wewe ndio kama msaada katika maisha yao na chochote ufanyacho juu yao hukwambia Mungu akubariki
5. Kila siku tegemea kupokea simu zaidi ya kumi ya ndugu jamaa na marafiki kukujulia hali na kukusalimia.
Haya endeleeaaaaaaaa