SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,671
- 2,028
Kuna watu wanasema sijui ni gundu aukila shetani ana Mbuyu wake yani kama hapa tz watu wanavyoamini alikiba ana kipaji lakini Diamond anampita kwa kila kitu
Basi ndio huko Nigeria napo kuna kijana anaitwa Johnny Drille, ni moto wa kuotea mbali, kwenye kuimba hana mpinzani kuanzia nyimbo hadi melody jamaa anatisha yani ni kama Simi vile ule ukali wake, lakini cha kushangaza jamaa ana kazi nzuri sana ila watu hawazifuatilii sana
Basi ndio huko Nigeria napo kuna kijana anaitwa Johnny Drille, ni moto wa kuotea mbali, kwenye kuimba hana mpinzani kuanzia nyimbo hadi melody jamaa anatisha yani ni kama Simi vile ule ukali wake, lakini cha kushangaza jamaa ana kazi nzuri sana ila watu hawazifuatilii sana