Recent content by MAHENDEKA

  1. MAHENDEKA

    Nini msingi hasa wa designer wa ulimwengu kutumia kile kinchoitwa 'Fibonacci sequence'?

    Tunaotrade cryptocurrency tunatumia fibonacci retracement kufanya maamuzi ya kuuza au kununua
  2. MAHENDEKA

    Do alliens exist?

    Kivipi mkuu figure gani hizo zinazoendana ? naomba ufafanuzi tafadhali
  3. MAHENDEKA

    Urusi: Rais Putin kuwalipa Tsh. 398,436, raia wanaohamia kutoka Ukraine

    kwani biden na EU wamewapa sh ngapi ?
  4. MAHENDEKA

    Ni tabia gani ambazo, mtoto wako wa kumzaa hautaki azifuate ama kuzirithi?

    Ukiwa unamfokea na kumkosoa kila wakati lazima atakua na tabia ya ukali na kutojiamini
  5. MAHENDEKA

    Namtafuta Mwalimu wangu wa O. Level anaitwa Kisuu

    Tulipokua bwiru alikua na kauli fulani hivi " utakojolea mti " - yaani kukojolea mti ni kujutia makosa baada ya adhabu kali
  6. MAHENDEKA

    Maofisa watano wa TMDA waliokuwa na tuhuma ya kuhujumu uchumi waachiwa huru

    Unaifahamu wapi kulikua na double payments , mtu anapata malipo mara mbili kwa kazi moja alofanya ndio msingi wa hio kesi
  7. MAHENDEKA

    Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

    Natumai unaelewa maana ya hii kitu kwa holders wa ada lovelaces cardano ...Its a matter of time https://smartcontracts.vercel.app/
  8. MAHENDEKA

    Kununua gari japani mnadani

    Kama hutojali naomba namba yako mkuu
  9. MAHENDEKA

    Subaru Imprezza vs Toyota Voltz achukue lipi?

    hii ni ngumu na imara pili ipo juu , ina nafasi kiufupi ni gari iko presantable & ina mudu hali ngumu kuliko subaru kwenye upande wa spare haitofautiani sana na subaru nilinunua mwaka 2017 mpaka leo kikubwa nilichobadilisha ni shockups tu na matairi Subaru inaishinda acceleration tu
  10. MAHENDEKA

    Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

    kama suala ni bei zipo tecno za bei kali kuliko iphone
  11. MAHENDEKA

    Msaada kuhusu Audi A4

    vx v8
  12. MAHENDEKA

    Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

    usidanganyike na gari za sinapore ....zina review mbovu sana usome feedback za waliokwisha nunua kwenye reputable websites
Back
Top Bottom