Mkuu maelezo uliyotoa ni kweli kabisa , lakini kwenye suala la peformance Sjg inatoa upinzani mkubwa sana kwa Lc300 ni dhahiri
, Lc300 anaachwa mbali na sjg
Lakini sio kwa hizi zebye horsepower 409, uzoefu ulio nao ni wa pande chache jaribu siku moja utabadili mtazamo wako
Mizimu sio majini nyie wajinga , ni roho za watu waliokufa ambao pengine hawakua watu wema duniani , kwa hio roho zao ni nzito au too denser zimeshindwa kupaa juu kwenda kwenye higher dimensional spiritual realm.
Kila mtu akifa muovu anakua mzimu , na anabako duniani kama kiumbe wa roho...
Production imegawanyika ipo ya audio na video
Mimi nitaorodhesha ya video kwa uchache
1. Tvs
2.Computer (macbook inashauriwa zaidi) na softwares kama adobe master collection humo ndani kuna software muhimu kama photoshop,premiere,illustrator,lightroom etc etc...software zingine kama cinema...
Siezi sema xtrail gari mbaya ila uwe na pesa ya spare na ni gari haitaki kabisa mambo mengi , kwa upande wa subaru non turbo kuna shida nimei experience kwenye steering rack yake ambayo ni ya umeme ukiiendesha baada ya muda fulani inaanza kugonga gonga huko chini huezi furahia kabisa...
mboga za bonde la msimbazi hizi na matunda yanayoivishwa kwa umeme % kubwa ya mboga za majani jiji la dar mchicha na chainizi etc zinapigwa dawa sana na zinaota kwenye mabonde ambayo maji taka ya viwanda yavaelekezwa yapite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.