Recent content by Mahandeiboho

  1. Mahandeiboho

    Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

    Na matokeo yote ya uchaguzi toka ngazi ya urais hadi udiwani yaweze kuhojiwa mahakamani kama yana dosari.
  2. Mahandeiboho

    Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

    Kutawekwa utaratibu kuwa Jaji Mkuu ndiye atakayeteua jopo la Majaji saba na kuwaapisha. Vinasaba vya kisiasa ni moja ya disqualifications kwa nafasi ye yote ile. Mikoani Hakimu Mkazi ateri kamati za wanasheria watakaosimamia zoezi hili na kupisha wateule na kupeleka taarifa kwa tume.
  3. Mahandeiboho

    Mnakomaa kupata Tume Huru ya Uchaguzi, mnadhani itawaweka madarakani?

    Mimi nakubaliana na suala la kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Ila naona utaratibu unaotajwa wa kupata viongozi wa tume si mzuri. Kiongozi ye yote wa kisiasa hapaswi kuhusika katika mchakato huu. Inatakiwa kuundwa jopo la Majaji saba watakaokuwa na kauli ya mwisho katika kuunda tume...
  4. Mahandeiboho

    Namna TRA inavyomhujumu Rais wetu mpendwa

    Inatisha kiasi kwamba tunaogopa kuanzisha biashara maana ukianzisha tu tayari unafuatwa ni mgogoro nao kodi kodi.
  5. Mahandeiboho

    Zanzibar: Mkuu wa Wilaya Rashid Msaraka aanza operesheni ya kuwanyoa nywele vijana waliofuga rasta au kunyoa Punk

    Hata mimi najiunga mkono huyo mkuu wa wilaya. Tabia za kipuuzi na unyoaji usio na muoneksno wenye hadhi ni fedheha kwa taifa. Maadili yazingatiwe katika kunyoa, kuvaa na kuzungumza.
  6. Mahandeiboho

    Serikali inawatengenezea vipato Wachina, huu ni wizi!

    Napata shida sana kuona mambo y'all aina hii yanaruhusiwa kuendelea. Hatuna intellectuals walio na uwezo WA kukemea haya yasiendelee.
  7. Mahandeiboho

    Masasi: Wanafunzi wa kike watano kufanya mitihani yao ya kidato cha 6 wakitokea nyumba ya kulala wageni

    Hao watafaulu kuliko wale walio bakizwa shuleni. MAKUMIRA Sekondari pia wamefanya unyama unaofanana na huu.
  8. Mahandeiboho

    MOROGORO: Rais Magufuli akabidhi kitita cha TZS Milioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya shule ya sekondari Mang'ula

    Ulaya kuna wazungu ambao hawagawi hela ovyo majukwaani bali kila senti inayo tumika ni kwa mipango inayoeleweka.
  9. Mahandeiboho

    Hivi kumbe Mpinzani akitukanwa Sawa, CCM akitukanwa Uchochezi, Sheria Gani?

    Maziwa ni matamu yakinywewa na wasambaa sio wambughu
  10. Mahandeiboho

    Kuhojiwa kwa Askofu Severine Niwemugizi: Mtikisiko wa Kanisa na Utawala wa Magufuli

    Kuna mipaka kati ya kazi ya kanisa na kazi ya serikali. Kila kimoja kina sehemu yake ya utendaji na heshima yake. Huko inapoelekea serikali sipo. Ijitafakari na irudi kwenye mstari.
  11. Mahandeiboho

    Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

    Ccm wanajifanya watakatifu katika suala la rushwa lakini kiuhalisia ndiyo vinara.
  12. Mahandeiboho

    Kwanini Viongozi wa Serikali wameamua kuanza kumtembelea Tundu Lissu?

    Nimekasirishwa sana na unafiki unaoendelea kuhusu hali ya Lissu. Hivi hela waliyochangia wabunge zilifika hospitali? Bunge limetoa nini kama taasisi kwa matibabu yaTundu Lissu. Serikali imefanya nini kuchunguza na kuwakamata waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu. Sitaki kusikia unafiki wa...
  13. Mahandeiboho

    Jukwaa la katiba tanzania(jukata)kufanya maandamano ya amani nchi nzima

    Hili la katiba mpya ni la msingi. Tuanzie na Katiba ya Tume ya Warioba. Hii ya Sita na Chenge ililazimishwa kupita kwa kura za marehemu, mahujaji na wabara kuhamishiwa visiwani. Likifanikiwa hili hali ya kunyanyasa upinzani itaisha na uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
Back
Top Bottom