jipe moyo.....kwa katiba ipi??We subiri yana mwisho
Ukiona nchi ina sheria zenye macho, zibajua huyu ni X na huyu ni Y jua hapo THERE IS NO RULE OF LAWA!Si unajua sheria za Tanzania siyo msumeno zinachagua, si unaona akina Rugemalila na mhindi wako ndani lakini waliopitisha na kusaini wako nje wanapeta? sheria za Tanzania ni selective, uklwa mpinzani inakushika ukiwa CCM uko above the law! Si unaona Mnyeti alikamatwa na video akitoa rushwa kesho yake akapandishwa cheo kuwa RC? alafu watu wanakuja wamebana pua " anapinga ufisadi" Pathetic!
msukuma kila kukicha Matusi, CCM wanawatukana Wapinzani Kama watakavyo sijawahi kuisikia wakiambiwa wachochezi, Kwahiyo hii sheria iko kwa Wapinzani tu?
Si unajua sheria za Tanzania siyo msumeno zinachagua, si unaona akina Rugemalila na mhindi wako ndani lakini waliopitisha na kusaini wako nje wanapeta? sheria za Tanzania ni selective, uklwa mpinzani inakushika ukiwa CCM uko above the law! Si unaona Mnyeti alikamatwa na video akitoa rushwa kesho yake akapandishwa cheo kuwa RC? alafu watu wanakuja wamebana pua " anapinga ufisadi" Pathetic!
msukuma kila kukicha Matusi, CCM wanawatukana Wapinzani Kama watakavyo sijawahi kuisikia wakiambiwa wachochezi, Kwahiyo hii sheria iko kwa Wapinzani tu?
Ila aombe tu amrithishe jamaa anayemuamini Sana atakapong'atuka madarakani either kwa hiari au kwa nguvu. Kwasababu watu wamempania hata humo humo ssm