Recent content by mahaha

  1. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kutambua pasi original na Fake

    Og kuanzia bei 35 mpaka 50 na maduka yao yapo pale opposite na mnara wa saa kama unaelekea station
  2. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kutambua pasi original na Fake

    Og kuanzia bei 35 mpaka 50 na maduka yao yapo pale opposite na mnara wa saa kama unaelekea station
  3. M

    Tukiweza kubadili hivi vitu kwenye katiba yetu inatosha, Rais Samia anaweza

    Kwa kuzingatia usalama wa nchi yetu na usalama wa kuendesha nchi nashauri kama Mama ataridhia mabadiliko ya katiba mambo haya yanafaa kuongezwa tu kwenye katiba iliyo na machache kuondolewa. Kipengele cha Rais akifa akiwa madarakani tubadilishe ISEME RAIS AKIFA MADARAKA MAKAMU WAKE ASHIKILIE...
  4. M

    Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Harrier 240G

    Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
  5. M

    Simba tusipobadilika ni ngumu sana kuvuka kwenda Robo Fainali na huyu kocha aambiwe

    SIMBA WASIPOBADILIKA ni ngumu sana kuvuka kwenda Robo Fainali. Lakini Pia hata wakivuka wanakazi ya kufanya inaonekana mechi za away hawawezi kuzuia hili ni janga kwao. Mimi niwashauri wanapocheza away au na timu yenye vijana wengi wamchezeshe LWANGA + KANOUTE PAMOJA UPANDE wa Tshabalala akae...
  6. M

    Kilimo cha mpunga nahitaji kuwa na mtaji wa shilingi ngapi?

    WADAU napenda mwaka huu nianze kilimo cha Mpungu huku IFARAKA kwenye mwezi wa 12. Mnishauri ni Sh ngapi inahtajka kwa heka 20 na kila heka inaweza kunipa sh ngapi. Wenye uzoefu kama Masanja Mkandamizaji naona kufahamu kiundani zaidi kabla sijadumbukiza hela zangu huko
  7. M

    Cheti cha mfamasia kipo (Proprietor wanted)

    Nikiwa na mil 15 naweza kuanzisha famasi ya reja reja.
Back
Top Bottom