Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
Mkuu Nunua tu ist stress free KWA raha zakoHabari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
Hiyo gari ninayo hivyo naweza kuisemea kdg. Kwa upande wa spea zinapatikana ila ni kwa bei kubwa kdg kulinganosha na toyota zingine za chini kama spacio au raum. Mfano break pad za mbele original toyota ni 270k, fake yake 120k ya kawaida mpaka elfu 60 unapata. Kuhusu ulaji wa mafuta kwa uzoefu wangu ni vyema ukawa na gari nyingine ya mizunguko. Ukitaka kufanya mizunguko na harrier basi jiandae linabugia sana mafuta. Kwa safari ni mazuri na very comfortable ila kwa mizunguko sio rafiki. Ni gari nzuri ya kutokea mara moja moja na safari sio ya kupuyanga mjini.....Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
This is the original comment.Hiyo gari ninayo hivyo naweza kuisemea kdg. Kwa upande wa spea zinapatikana ila ni kwa bei kubwa kdg kulinganosha na toyota zingine za chini kama spacio au raum. Mfano break pad za mbele original toyota ni 270k, fake yake 120k ya kawaida mpaka elfu 60 unapata. Kuhusu ulaji wa mafuta kwa uzoefu wangu ni vyema ukawa na gari nyingine ya mizunguko. Ukitaka kufanya mizunguko na harrier basi jiandae linabugia sana mafuta. Kwa safari ni mazuri na very comfortable ila kwa mizunguko sio rafiki. Ni gari nzuri ya kutokea mara moja moja na safari sio ya kupuyanga mjini.....
Hebu Msaidie mwenzako na wewe...Unaweka tu hata maji..
Hebu Msaidie mwenzako na wewe...
😀😀😀😀 2400 nayo ya kulia kama inakula wese.. hiyo umeme mwingi sana.. inanusa tu.. achukue tu.. haili kabisaHebu Msaidie mwenzako na wewe...
Inawezekana ni mstaafu mwacheni apate rahaAnataka kumiliki kalio la nyani..
Msimtishe sana...
Kwamba mambo ya VVT-i...2400 nayo ya kulia kama inakula wese.. hiyo umeme mwingi sana.. inanusa tu.. achukue tu.. haili kabisa
Inawezekana ni mstaafu mwacheni apate raha
😀😀😀😀 achukue tu alafu 2400 ni ndogo angechukua Lexus RX 350Kwamba mambo ya VVT-i...
Umeme mwingi...Mafuta kidogo?
achukue tu alafu 2400 ni ndogo angechukua Lexus RX 350
ndio tamuu.. kulia lia mafuta ni kipimo tosha kwamba bado bado.....
😀😀😀😀😀 raha ya gari itafune wese
Mwache bhana...
Sasa hilo ulilomshauri si atakuwa anakutana na taa za Christmas kwenye Dashboard kila baada ya siku mbili..
Zaidi ukipata lile Wese la kuweka kwa Card...raha ya gari itafune wese