Ni mda sasa tokea niwe nasikia chini chini kwamba wakala wa ukusanyaji mapato ya mlangoni pale UBT ni kampuni ya Kingunge N Mwilu.
Naomba kuthibitishishiwa (Kwa anayefahamu) eti habari hizi ni za kweli?
Nina rafiki yangu mzungu ktk project fulani huko nchi jirani na Tz lkn anadai yeye ni jamii ya Wanguu na eti ni kabila lipatikanalo huko kwetu Tz.
Ni mkoa upi Wanguu hupatikana huko kwetu?
Ni binti mwenye uthubutu na asiye na uoga wowote!Ni binti mdogo sana,miaka 35 tu toka kuzaliwa kwake.
Ni Diana Rwagila.Juzi aliitisha kikao na vyombo vya habari na kutangaza bayana,kwamba mosi;anaupinga utawala wa kiimla wa Kagame.Pili,rasmi
sasa atasimama km mgombea binafsi wa kiti cha u-Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.