Recent content by Maguguma

  1. Maguguma

    DOKEZO Shule ya Msingi Shungubweni (Pwani) ni hatari kwa maisha ya watu, majengo yapo hatarini kuanguka, Vyoo navyo ni aibu tupu

    Hakika watoto wetu wapo hatarini sana...... Kuna haja ya wahusika kuchukua hatua kwa haraka
  2. Maguguma

    Elimu ya Afya ya Uzazi itasaidia kupunguza idadi ya vifo vitokanavyo na uzazi

    Prof. Andrea Barnabas Pembe ambaye ni Profesa wa Magonjwa ya Kina mama na Uzazi kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) anaelezea madhara ya utoaji mimba usio salama. Anasema hali hiyo ni pindi ujauzito unapotolewa katika njia zisizo salama na zisizo zingatia afya na...
  3. Maguguma

    Wanasiasa kama Musukuma kushawishi wamiliki wa Hotel kugoma, si sawa

    Wikiendi iliyopita kuliibuka taarifa juu ya baadhi ya Wamiliki wa baa na hoteli Jijini Mwanza walikuwa na mpango wa kufanya mgomo wakidai wanapinga maamuzi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kutokana na...
  4. Maguguma

    Wakulima na wafanyabiashara wa mazao ya soya, Ufuta na Mbaazi watinga Mahakama Kuu Kanda ya Songea kumshitaki Mkuu wa Mkoa

    Mei 22, 2023, Wakulima na wafanyabiashara wa mazao ya soya, Ufuta na Mbaazi walitinga katika mahakama kuu Kanda ya Songea kufungua shitaka la kupinga waraka uliotolewa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma unaowazuia wakulima na wafanyabiashara kuuza Wala kununua mazao hayo kinyume na stakabadhi gharani...
  5. Maguguma

    REA wametuwekea nguzo kisha hakuna umeme mwaka mzima, TANESCO nao wamekimbia

    Mimi ni mkazi wa Mwanza, Wilaya ya Misungwi, Kitongoji cha Mwasonge, kulikuwa na mradi wa REA wa kuunganisha umeme ambapo ilielezwa kuwa utakabidhiwa kwa TANESCO baada ya kukamilika. Cha kushangaza ni kwamba tangu REA walipomaliza na kuwakakabidhi TANESCO hadi sasa ni watu wasiozidi 15 tu, ndio...
  6. Maguguma

    Kuna watu wanachukulia poa suala la Kelele, hii ni kero, NEMC wametukumbusha furaha yako isiwe kero kwa mwingine

    Binafsi natoa pongezi nyingi kwa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa uamuzi wao walioufanya hivi karibuni, inawezekana ukaonekana kama wamekosea lakini siku zote binadamu huwa si rahisi kukubali mabadiliko. Mabadiliko yoyote yale huwa yanaambatana na changamoto kadhaa...
  7. Maguguma

    Who is behind Chalinze Cement? What is hidden and why?

    For some time now I have been following a company called Chalinze Cement and what I saw was funny. Did you know that this company does not own any land that can mine limestone for cement production? It also doesn't even have the branding they claim to have. They do not even import cement into...
  8. Maguguma

    DOKEZO Responded Barabara nyingi zinazounganisha Vijiji vya mkoa wa Ruvuma hazipitiki kipindi Cha mvua

    Kipindi cha mvua barabara nyingi zinazounganisha Vijiji vilivyopo Mkoani Ruvuma hazipitiki kirahisi na zingine hazipitiki kabisa. hali inayopelekea wanakijiji wengi kusafirisha mazao yao kwa shida toka eneo moja kwenda eneo lingine. Inayoonekana katika picha ni barabara iliyopo katika Kata ya...
  9. Maguguma

    Ujenzi wa uwanja wa Michezo wa Nyasa Mkoani Ruvuma kuanza hivi Karibuni

    Wananchi na viongozi wao wa Wilaya ya Nyasa wameamua kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha ujenzi wa uwanja huo wa Michezo unakamilika kwa wakati. Ukanda wa ziwa Nyasa umebarikiwa kuwa na vipaji vya kweli vya mpira lakini wanakosa daraja la kupitia kwa hoja ya kuendelezwa.
  10. Maguguma

    Kijiji cha Manzeye Wilayani Mbinga hakina umeme, baadhi ya maeneo watakiwa kununua haki zao

    Kijiji cha Manzeye kilichopo Kata ya Wukiro Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma kipo kwenye orodha ya vijiji vilivyokosa umeme mkoani Ruvuma. Kijiji hicho ambacho kinapakana na kata ya Litembo hadi sasa wananchi wake hawajui ni lini watapata umeme huo ingawa baadhi ya maeneo wasimamizi wa...
  11. Maguguma

    Serikali itatue changamoto zilizojitokeza wakati wa uuzaji wa Mbolea ya Ruzuku

    Wananchi Wengi wa mkoa wa Ruvuma wampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mbolea ya ruzuku ambayo imewawezesha wakulima wengi kununua na kuongeza uzalishaji kwenye mazao yao, kwa bei ya Elfu 50,000 hadi 70,000 kwa mfuko wa Kilo 50. Mbolea ya Ruzuku imewasaidia wakulima kuondokana na...
  12. Maguguma

    Tuinusuru Majimaji Fc na jinamizi la kufukuzwa, kuzuiliwa, au kukimbia madeni Hotelini

    Machi 23, 2022 Timu ya Mpira wa Miguu ya Majimaji Fc toka Songea, ilizuiliwa Hotelini jijini Dar es salam mara baada ya kushindwa kulipa madeni yao. Timu ikashindwa kurejea nyumbani kwa wakati. Februari 23, 2023 Wachezaji na Viongozi zaidi ya 12 wa Majimaji Fc walifukuzwa Hotelini (Dar es...
  13. Maguguma

    Viongozi wa vyama vingi vya Ushirika wa zao la kahawa Wilayani Mbinga wanafanya kazi kwa lengo la kujinufaisha

    Viongozi wa vyama vingi vya Ushirika wa zao la kahawa Wilayani Mbinga wanafanya kazi kwa lengo la kujinufaisha wao wenyewe badala ya wakulima wa zao hilo. Wakulima wa zao la Kahawa wanafanya kazi wakati wa mvua na jua kwa kipindi cha mwaka mzima, lakini kwa asilimia kubwa wanaonufaika ni...
Back
Top Bottom