ACHEN MANENO MENGI! tajili ataendelea kuwa tajili na maskin ataendelea kuwa masikini kwa mfumo wetu huu kama 2 mawazil wengi hawana biography inayoeleweka! katika ELIMU ni UBABAISHAJI 2 mfano.......loading..............
mizimu ya mkwawa iliwapanda wanafunzi wa mkwawa university baada ya kuchelewa kutupia boom! na kuamua kuweka tanganzo la kuweka maandamano ya kudai boom! lkn faster wakaliachia mambo poa kwa sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.