Mapya ya elimu mulugo

mkuu nimeshindwa kumalizia kusoma uzi wako...!

ila kwa nilipoishia tu ni kwamba, hawa watu wanafanya biashara!

so usipokuwa na macho, utaliwa kichwa!
Itakuwa hukumalizia kuusoma kwa kuwa eti una chumvi nyingi utakuwa umeogopa hilo
 
Itakuwa hukumalizia kuusoma kwa kuwa eti una chumvi nyingi utakuwa umeogopa hilo

mwandishi unajua alikuwa amevurugwa!!

kijana anaandika hajui kama kuna paragraph wala aya! hajui kama kuna kituo kidogo wala kikubwa!

niliboreka kwa kweli!
 
Huyo aliyepata A masomo yote national vipi inteqview pale marian, feza na st joseph nako alipata A?

Captain, dogo sasa hivi yuko goba kunguru, st Joseph na juzi jmosi karudi toka huko walikokaa kwa mwezi mzima kwa akili ya orientation prog. Marian alifanya lkn ndo hivyo wana vigezo vyao.
 
Hajafikisha wastani wa Sabini mtoto wa darasa la pili!!????!! Na ameshika nafasi ya 16 darasa Idarasa I!??!! Kwa uzoefu wangu darasa hilo nafasi ya kwanza hadi kumi wanapata wastani wa 95 kwenda juu.
 
Wewe na huyo mwanao ni vilaza, tafuta steelwire usugue masizi ubongoni mwenu...

Anawafundisha wenzake wa darasa la 6, wenzake haohao walikuwa eligible kuingia la 3 yeye kashindwa:::kilaza:::

Ulikua unafundisha form 6 wakati upo form 3...?? Nani ------- kati yako na mulugo???

Haya tafuta suluhu ya ukiritimba wenu, wakati mwanao anaingia chuo with 30s, bwana mdogo anagraduate with 22 pale CoET... hao ndo bright bhana, achana na huyo aliyekwama darasa la 2...
 
mwandishi unajua alikuwa amevurugwa!!

kijana anaandika hajui kama kuna paragraph wala aya! hajui kama kuna kituo kidogo wala kikubwa!

niliboreka kwa kweli!

Tatizo sikusoma ngwini nilibana kwenye ma loop integral
 
Toka hapa! Mtoto wa darasa la pili atamfundishaje hesabu mtoto wa darasa la tano. Hizo ni ngonjera, na unaonekana sio mkweli wewe.
 
Mwanao ni kilaza arudie tu shule mpaka afikie kiwango cha ufaulu unaoridhisha.

Atasoma elimu ya watu wazima umri ukienda kwa sababu ya kurudiarudia.

Wa Mia hapati Moja.
 
kijana vp? cjakusoma hiyo ni BALUA ya KUOMBA KAZ YA ULINZI au umeramaraizi kamusi ya kiswahili? JIPANGEEEEE! hili c o jukwaa la kubembelezea WATOTO!
 
Wana jf kuna kituko nimekutana nacho leo hii ingefaa mnijuze kama na nyie mnakutana nacho na pia tushauriane kuhusu dawa ya jambo husika. Ishu ni kuwa mwanangu anasoma darasa la pili shule binafsi VIBE kinyerezi na tegemeo ni kuingia darasa la tatu wakifungua; cha ajabu nimekabidhiwa ripoti ya mtoto inayosema shule ikifunguliwa atarudia darasa na kusoma hilo hilo la pili kwa kuwa hakufikisha wastani wa marks 70 walizojipangia. Imeonyeshwa nafasi yake darasani ni wa 16 na kwa maana hiyo nusu ya darasa watakuwa wanarudia kwa kuwa darasa lina wanafunzi karibia ya thelasini. Sasa hii maana yake nini ni kwamba sasa tujiandae kuona watoto wanamaliza la saba wakiwa na miaka 20 au 21 umri sawa na ule wa wale wanaokaribia kumaliza chuo kikuu. Hapo sasa na umri huo apate bahati ya kuingia sekondari na hizo rudiarudia atapoteza miaka mingine 12 hapo umri utakuwa miaka 33; sasa aende chuo aje kuingia kwenye maisha atakuwa ameshakuwa m-babu wa miaka 50. Hivi hii wizara ya elimu kazi yake nini hadi kila mjinga mwenye vijihela vya kufungua shule anaanzisha ujinga anaoujua yeye? Hivi hawa kina MULUGO na elimu zao za kuungaunga ndio wamekuwa majanga kiasi hiki? huyu mtoto wangu yuko bright na namkubali hata faili lake lina marks kuanzia 80 kwenda juu lakini sizo zilizowekwa kwenye ripoti; na hapa nyumbani anategemewa na watoto wenzake tena wa darasa la tano wa shule za serikali anawafanyia hesabu, na kuwajibia masomo mengine pia lakini yeye arudie mwaka wakati wanafunzi wake wanasonga mbele kuingia la sita. Hivi hapo darasa la saba si wanafanya mitihani ileile ya kwenda sekondari? na utaratibu wa kurudia madarasa si ni darasa la nne na form two? hii ya kurudishwa nyuma darasa lolote ili watu wavune pesa imeidhinishwa na nani? MULUGO? hebu nijuzeni wenzangu!
you are too low! mulugo kaingiaje hapo?? hivi mmerogwa nani nyie mitanzania?? shule za binafsi zinataka wanafunzi warudi ili wapate ada nyingi wewe unakazana na mulugo kwani ndo anapanga wastani?? hiyo shule umempeleka mwenyewe huyo mwanao kwa kiherehere chako sasa yanakushinda unakuja hapa tupishe tafadhali tuna mengi ya kujadili
 
Hizo marks 70 au 80 maana yake ni asilimia (%) au? Otherwise kama ni chini ya 150 au 200 naona bora dogo arudie; usipende ahame darasa wakat hajatimiza kiwango. Kama ni % then hiyo shule itakua ya ma genius/elite cream, kwamba nusu ya darasa wako beyond 70%! In that case mtafutie shule nyingine maana kwa style hiyo atarudia kila darasa!
 
Wana jf kuna kituko nimekutana nacho leo hii ingefaa mnijuze kama na nyie mnakutana nacho na pia tushauriane kuhusu dawa ya jambo husika. Ishu ni kuwa mwanangu anasoma darasa la pili shule binafsi VIBE kinyerezi na tegemeo ni kuingia darasa la tatu wakifungua; cha ajabu nimekabidhiwa ripoti ya mtoto inayosema shule ikifunguliwa atarudia darasa na kusoma hilo hilo la pili kwa kuwa hakufikisha wastani wa marks 70 walizojipangia. Imeonyeshwa nafasi yake darasani ni wa 16 na kwa maana hiyo nusu ya darasa watakuwa wanarudia kwa kuwa darasa lina wanafunzi karibia ya thelasini. Sasa hii maana yake nini ni kwamba sasa tujiandae kuona watoto wanamaliza la saba wakiwa na miaka 20 au 21 umri sawa na ule wa wale wanaokaribia kumaliza chuo kikuu. Hapo sasa na umri huo apate bahati ya kuingia sekondari na hizo rudiarudia atapoteza miaka mingine 12 hapo umri utakuwa miaka 33; sasa aende chuo aje kuingia kwenye maisha atakuwa ameshakuwa m-babu wa miaka 50. Hivi hii wizara ya elimu kazi yake nini hadi kila mjinga mwenye vijihela vya kufungua shule anaanzisha ujinga anaoujua yeye? Hivi hawa kina MULUGO na elimu zao za kuungaunga ndio wamekuwa majanga kiasi hiki? huyu mtoto wangu yuko bright na namkubali hata faili lake lina marks kuanzia 80 kwenda juu lakini sizo zilizowekwa kwenye ripoti; na hapa nyumbani anategemewa na watoto wenzake tena wa darasa la tano wa shule za serikali anawafanyia hesabu, na kuwajibia masomo mengine pia lakini yeye arudie mwaka wakati wanafunzi wake wanasonga mbele kuingia la sita. Hivi hapo darasa la saba si wanafanya mitihani ileile ya kwenda sekondari? na utaratibu wa kurudia madarasa si ni darasa la nne na form two? hii ya kurudishwa nyuma darasa lolote ili watu wavune pesa imeidhinishwa na nani? MULUGO? hebu nijuzeni wenzangu!

unamwindiko mzuri sana.
 
you are too low! mulugo kaingiaje hapo?? hivi mmerogwa nani nyie mitanzania?? shule za binafsi zinataka wanafunzi warudi ili wapate ada nyingi wewe unakazana na mulugo kwani ndo anapanga wastani?? hiyo shule umempeleka mwenyewe huyo mwanao kwa kiherehere chako sasa yanakushinda unakuja hapa tupishe tafadhali tuna mengi ya kujadili
You must be having a very sick mind; was it compulsory for every mug to respond? get beef of the matter before emptying your frustrations in public. Wherein did i claim to be too high? proud people like yourself never seek council, well am not one of them
 
Nikiwa darasa la sita, form two wa mtaa mzima walikuwa wanaleta hesabu zao kwangu na nikiwa form three nilikuwa nafundisha hesabu form six kama mwalimu hayupo je hiyo ni chumvi pia au pilipili? eti ooh ina chumbi sana huo ni mtori? umeambiwa unywe? shida ya kwangu mimi wewe unataka irekebishwa ifanane na unavyofikiri si uandike post ya kwako? mtoto yuko ndani na guru wa hisabati halafu usitegemee makubwa? unaweza kufikiri na brag, nitembelee hapa Home episodes za ukali wangu ziko mle uwe mvumilivu na kuzisoma manake hazipo juujuu. Ishu hapa ni je ku violate age base ya wahitimu ni sahihi na imeidhinishwa na nani? shule ikiitwa ya binafsi inakuwa na mambo binafsi? kwanini zinasajiliwa? kwanini zinafanya mitihani ya taifa? huyo mulugo yuko pale wizarani kusubiri juice? mimi nimemtaja yeye makusudi kwa kuwa inaonekana wazi yeye mwenyewe ni muathirika wa hizi elimu za uani zinazoendeshwa na nyumba ndogo za wamiliki.

Mmmmh, form 3 kuwapiga pundi la math form 6!!!!
Kwa sisi tuliosoma pure math, tunaona kuna propaganda hapa.
 
Mmmmh, form 3 kuwapiga pundi la math form 6!!!!
Kwa sisi tuliosoma pure math, tunaona kuna propaganda hapa.

i think it's possible for bright form 3 studying additional maths to teach form 6 studying BAM some of the topics.
 
Nikiwa darasa la sita, form two wa mtaa mzima walikuwa wanaleta hesabu zao kwangu na nikiwa form three nilikuwa nafundisha hesabu form six kama mwalimu hayupo je hiyo ni chumvi pia au pilipili? eti ooh ina chumbi sana huo ni mtori? umeambiwa unywe? shida ya kwangu mimi wewe unataka irekebishwe ifanane na unavyofikiri si uandike post ya kwako? mtoto yuko ndani na guru wa hisabati halafu usitegemee makubwa? unaweza kufikiri na brag, nitembelee hapa Home episodes za ukali wangu ziko mle uwe mvumilivu na kuzisoma manake hazipo juujuu. Ishu hapa ni je ku violate age base ya wahitimu ni sahihi na imeidhinishwa na nani? shule ikiitwa ya binafsi inakuwa na mambo binafsi? kwanini zinasajiliwa? kwanini zinafanya mitihani ya taifa? huyo mulugo yuko pale wizarani kusubiri juice? mimi nimemtaja yeye makusudi kwa kuwa inaonekana wazi yeye mwenyewe ni muathirika wa hizi elimu za uani zinazoendeshwa na nyumba ndogo za wamiliki.

ndiyo maana elimu ya Tanzania iko ICU. Wajinga ndio waliwao, kwa hiyo tujiandae kuliwa.
 
Mmmmh, form 3 kuwapiga pundi la math form 6!!!!
Kwa sisi tuliosoma pure math, tunaona kuna propaganda hapa.
Pure Math gani hiyo mzee ya backhouse au? naongelea pure and applied maths for your info; kwa wale wa enzi ya mordern maths form six wa mikondo ya science tofauti na pcm wanatumia kitabu hicho hicho kinachotumiwa na form three wanaochukua additional maths sasa kuna shida gani hapo kipanga wa form three kuwakalisha chini hao mabundi wa kupasua vyura? Mpaka hapo nimekupa uwezekano ule unaoitwa one-o-one si kwa watu waliokuwa wanashusha namba hata za madarasa matatu mbele kwa unyama wao binafsi wa kuzaliwa. Sijaona propaganda hapo aisee bali naona tu taswira ya kilaza fulani hivi. Sasa bosi wangu kama leo hii nimeweza ku rediscover all the great laws of mordern science and technology you still dont figure am a person of higer mind? I HAVE BEEN ABLE TO DOCUMENT THE FOLLOWING:
THAT Even the laws which gave rise to modern day technological advancement are a product of natural wisdom and can be deduced even today very simply from equally very simple realities as enumerated hereunder, just to give you a bird's eye view.


-Newton's laws of motion can be easily deduced from the assertion that; Whatsoever a man soweth, that shall he also reap.

-The law of conservation of energy can be derived from the assertion that; According to your faith, be it unto you.

-The law of Entropy and the second law of thermodynamics can be derived from the statement; This day I put before ye life and death, choose ye life so that ye may live.

-Einstein's theory of Relativity can be constructed from this noble call; Hear, ooh Mankind, your lord is one god.

-The laws of Entropy and second law of thermodynamics can also be arrived at by way of the following proposition: There is yet a little time and that end shall come; and also in consideration of the statement: Because of insatiable canal desires, unquenchable thirst for worldly goods and because of high entropy- techno-scientific culture, there is pollution and cruelty.
Above all, the sense of law and order is cast down due moral decline and loss of spiritual endurance. When this divergence of moral and spiritual energy of planet earth attains its optimum value, or reaches a steady state condition, nature will have to intervene by hijacking the situation to reverse the entropy. And so that end shall come.

-From the assertion; Where there are two or three am also there, can be deduced three laws

(1) coulombs law for stationary Point charges
(2) Gauss's law relating to the electric field intensity
(3) poison's and Laplace's equations.

-I HAVE GENERATED FURTHER PROOFS THATS cience cannot explain nature adequately and has its shortcomings
(1) Both the classical mechanics and the Galilean transformation break down when velocities approach the velocity of light
(2) It has been found experimentally that the velocity of a particle does not increase indefinitely as its energy increases. Instead the velocity approaches asymptotically the velocity of light c= 3x10[SUP]7[/SUP] m/s. Therefore the expression, 1/2mv[SUP]2[/SUP] of classical mechanics quantifying the kinetic energy of a mass, m, moving with velocity, v, cannot be true
(3) According to the Galilean transformation, vector addition applies to velocities i.e v'+v''=V, But this simple addition of velocities is found to be incorrect in nuclear reactions where the velocities approach the velocity of light. The resulting velocity is in fact always smaller than v'+v'' and never exceed c, the velocity of ligh t i.e v'+v''< c.
-The laws of quantum mechanics can be deduced from the statement; Success and failure in life depends largely on how we react to situations i.e. There are a number of ways we can approach a problem and therefore there can be a number of decisions that can be made in a particular situation and there can be a number of mental states that can occur.
-The law of Entropy and the second law of thermodynamics can be derived from the statement; This day I put before ye life and death, choose ye life so that ye may live.
 
Back
Top Bottom