Tatizo mahitaji makubwa zaidi ya uwezo.....
Walimu wa chuo kikuu Dsm wanakesha kwenye mitandao wakictriticize serikali, kumbe wao kusafisha vyoo tu hawawezi!!!
Ni tabu sana. Ila naomba niulize kitu kingine huwa kinanitatiza sana Tanzania....toilet paper ni shillingi ngapi? kwanini taasisi ziko radhi watu watumie magunzi na makaratasi magumu yanayosababisha vyoo kuziba na kutumia gharama nyingi zaidi kuzibua. Cry my beloved motherland.
Uzuri wapo jirani na ARDHI University ambao ni wa masuala yanayohusiana na usafi wa mazingira especially designing sanitation facilities, ni vizuri kutumia rasilimali iliyopo jirani ili kuleta mabadiliko.Ni aibu kwa kweli. tengenezeni vyoo. Kwani Ustarabu wa mtu ni choo bora.