Recent content by Magoiga SN

  1. M

    MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

    Magoiga SN-Mwanza Serikali ilipolifungia hili Gazeti baada ya kuandika kuhusu Kupotea kwa Dr Ulimboka waliandamana mitandaoni, na kusema linafungiwa kwasababu linaiandika vibaya CCM na serikali yake. Lakini leo wako mstari wa mbele kulitia MOTO na hata kushinikiza polisi wavamie ofisi zake...
  2. M

    Waziri Mwigulu usikomee kwa Chid Benz, kuna wengine siyo maarufu ila wako majumbani na mitaani

    Magoiga SN-Mwanza Niliwahi kuona Mh Jakaya Kikwete akijitolea kugharimikia matibabu ya Ray C ambaye wakati huo alikuwa ktk hali mbaya kutokana na kuathiriwa vibaya na matumizi ya madawa ya Kulevya. Binafsi nilimuona Ray C kama mwenye bahati kwa kitendo cha Rais kujitolea kumsaidia kupata...
  3. M

    Tunajua maana ya MASLAHI mapana ya TAIFA?

    Magoiga SN-Mwanza Mara kadhaa vijana wengi Tanzania (nami nikiwemo) tumekuwa tukijadili masuala mbalimbali ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kielimu kuhusiana na taifa letu huku tukitafuta 'weak point' ya kuisifia itikadi ya Chama chako cha kisiasa, au hata kutafuta namna ya kukidhihaki...
  4. M

    2016 ulikuwa mwaka mbaya kwa madiwani wa CHADEMA

    Magoiga SN-Mwanza Tujikumbushe baadhi ya habari zilizotawala mitandaoni kuhusiana na madiwani wa Chadema ambazo ziliwashtua watu 1.Diwani wa CHADEMA Kata ya Pasua Ndg. Charles Mkarakara, amehukumiwa na mahakama ya wilaya Moshi kwenda Jela miaka 5 au faini isiyopungua kiasi cha shilingi laki...
  5. M

    TANZIA: Peter Kalihose mwanaccm tawi la mitandaoni amefariki dunia

    Magoiga SN Sina mengi ya kusema kuhusu Peter Kalihose, kijana aliyeweka mbele maslahi ya taifa katika kupigania kile alichokiamini tena kwa kujitolea. Wengi waliotofautiana nae walimuona kama 'Conservative' lakini Peter aliamini Tanzania yenye Amani ni muhimu ktk maendeleo ya nchi kuliko...
  6. M

    Kauli 5 za mwisho alizoandika Kalihose kuhusu Maisha na Kifo

    Peter Alijua Muda Wake Hapa Duniani Umetimia Magoiga SN-Mwanza i) Tarehe 31 Dec/Tanuru la Fikra : Aliandika 'Maisha haya ni mafupi sana na hatupaswi kufanya chuki kuwa sehemu kuu ya maisha yetu...TUSAMEHEANE kila wakati (matendo na maneno), leo 2016 na kesho 2017. Walionikwaza nimewasamehe...
  7. M

    Salamu kutoka Kasulu kwa wanaCCM wote mitandaoni

    Jana Tar 7 nilipokea na kuwasilisha Rambirambi ya Sh 263,500, Leo nimewasilisha Rambirambi ya Sh 237,000. Jumla inakuwa Sh 500,500. Hata hivyo baada ya kuwa tayari nimewasilisha kiasi hicho nilipokea tena Sh 10,000 kutoka kwa mjumbe mmoja ambaye alikuwa amechelewa kuwasilisha Rambirambi yake...
  8. M

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    By Magoiga SN-Mwanza Umeme ulipotangazwa kupanda walijitokeza mstari wa mbele kupinga na hata kudhihaki inakuwa vipi serikali ikae kimya ilihali bei ya umeme inataka kupandishwa kiholela. Serikali ilipochukua hatua za kuzuia kupanda kwa bei na kwenda mbali zaidi kwa kuthibiti uzembe na hujuma...
  9. M

    Inaelekea aliyeshauri Serikali kuhusu fao la kujitoa haijui Tanzania

    Ni kweli kabisa, fao ni la Uzeeni, lakini ni vigumu kulinganisha mfanyakazi mwenge mkataba wa kudumu, na hawa wa migodini Mtu anaacha kazi akiwa na miaka 27, na ktk akaunti yake NSSF au PSPF ana akiba ya sh Mil 60, harafu uniambie kuwa mtu huyu peda hiyo itamfaa uzeeni ilihali anaweza...
  10. M

    Inaelekea aliyeshauri Serikali kuhusu fao la kujitoa haijui Tanzania

    INAELEKEA ALIYEISHAURI SERIKALI KUHUSU FAO LA KUJITOA HAIJUI TANZANIA |¦| Mswada Huu Ukirejeshwa Bungeni, Utakuwa Kipimo cha Uzima wa Akili za Wabunge Tuliowachagua Magoiga SN-Mwanza (Conflict Of Interest: Mimi ni mmoja wa watu walionufaika sana, tena kwa mafanikio japo kiduchu kutokana na...
  11. M

    Lipumba huoni aibu kutamani ruzuku iliyotokana na kura za Lowassa?

    Tatizo ni pale ambapo mtu mzima anakuwa hajui jinsi mgawanyo wa Ruzuku ulivyo CUF ndiyo imeipatia Chadema kura za ruzuku au Chadema ndiyo imeipatia Cuf kura za ruzuku?? Kuna mambo huwezi kuwa na akili huru ya kuyajadiri iwapo uko ktk msafara Jiondoe ktk msafara wa Kibwetere ndipo utaweza...
  12. M

    Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

    Mange Kimambi ndiye mtu anayeogopwa na serikali ya CCM ya awamu ya 5 kuliko mtu yeyote yule duniani. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akitukana matusi ya nguoni, kudhalilisha, kusambaza habari za uongo kuhusu Ikulu kwa kusema Makamu wa Rais ameandika barua kujiuzulu nk. Ninakiri wazi kuwa Mange...
  13. M

    Ushauri wangu kwa Serikali Ikiwa Lema anapenda kuzindua Miradi

    "Ikiwa Lema anapenda sana kukata utepe, na kuzindua miradi hata ambayo haihitaji sifa na umaarufu wa kisiasa. Nimuombe Mh Magufuli mwaka kesho amteue Lema awe Mwenyekiti wa MBIO ZA MWENGE ili azunguke nchi zima akikata utepe mpaka mikasi yote iwe butu" ,,, Huwa Sitakagi Ujinga wa...
  14. M

    Hi ndiyo love story usiyoifahamu katika siasa za Uganda kuisaka Ikulu

    Je Unajua Mke wa Besigye wa Sasa Alikuwa Mchepuko wa Museveni??? Magoiga SN-Mwanza ",,,, katika hii picha ni Rais Museveni akiwa ameenda kumjulia hali Baba yake Mzazi kijijini enzi za mapambano, hii inakisiwa ilikuwa mwaka 1984. Wakati picha hii inapigwa mke wa Museveni alikuwa...
Back
Top Bottom