Recent content by magis

  1. M

    SoC04 Uzinduzi wa awamu ya Nne wa Shindano la Stories of Change 2024, Zaidi ya Tsh. Milioni 50 Kushindaniwa

    Mabadiliko yoyote yanahitaji mtaji wa kimtazamo. Jamii yetu imegukwa na kuigiza katika malezi.Kila linalohitaji maonyo huachwa kwa kisingizio cha haki za binadamu. Malezi ya watoto huakisi mtaji wa maisha ya muhusika. Mfano. Zama zetu,miaka ya 70 mpaka 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000,watoto...
  2. M

    Pascal Mayalla: Waandishi wa habari ni waoga nimewaalika tujadili hotuba ya Rais Magufuli wamepiga chenga na kuingia mitini

    Yaani hela ule wewe ,wenzio waishie hela na utakatishaji pesa. Wamejiongeza. Kama mtu anacheka hapati dhamana,mengine malizia wewe!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Kwa hiyo hakuna hoja za huyo askofu zikaletwa pamoja hapa tupime??? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Ungekuwa mkweli kwa dhamira njema kama ungetuletea na maelezo au majibu ya askofu ili tujadili. Kwa andiko hili huna tofauti na aliyemsaliti yesu ili ababeshwe msalaba. Hukutenda haki unayotaka itendwe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Kwa hiyo wewe umeamua uje kumchafua na kumvunjia heshima?? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    MWIGAMBA: Kwenye mpambano kati ya Zitto na Maalim Seif, tayari Maalim ana ‘point’ moja!

    Umeshakula ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Kwa hiyo unamleta asulubiwe na JF Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Bongo Star Search Wapewa mwezi mmoja kumlipa mshindi wa BSS 2019

    Waziri amemkosea sana Madam Ritha.Yule ni mtu wa kusaidiwa wapi amekwama na si kumuaibisha kutokana na anachokifanya. Hicho ni kiwanda kama kilivyo kiwanda kingine kwa kuwa kinazalisha vijana wanaokuja kujitegemea. Hakuna asiyejua ugumu wa upatikanaji pesa kwa sasa.Maandalizi na uendeshaji wa...
  9. M

    Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Yaani nimesoma, unaona wasanii washaingia kazini. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Mkuu Mzee Mwanakijiji, Rais Magufuli Sio Alfa na Omega. Rais Sio Mungu! Na Kwenye Utawala ni Katiba!

    Punguza maelezo weka hoja ijadiliwe.Unauliza lkn bado unajenga mazingira ya watu waimbe wimbo wako.Unatutega au??? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Anapata wakati mgumu kwenda msibani kwa ex wake

    Yaani hapa ndipo tunapokwama wanaume. Kwa nini umzuie mwenzako katika majukumu ya kijamii na hasa ukizingatia kuwa kule ana watoto ambao hiyo ni bibi yao. Kwani ruhusa kwa mke ni nini??? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Lingine usilolijua,mataifa makubwa yote,huduma za afya ni biashara.Huwezi kuamka na kumkuta daktari anakusubiri. Ili utibiwe ni lazima uombe na kupangiwa siku hivyo ktk dharura kama hii hospitali zitawahudumia wateja wao tu na si kwa kiwango cha mlipuko kama uliojitokeza. Kwa kukumalizia ili...
  13. M

    CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Nataka uamini maneno yangu. Na hili ni la mwisho kutumia akili yako,kama hutaki endelea kusubiri link. Tazama nini hutokea wakati wa baridi msimu wa kipupwe!!! Au Nini hutokea wakati wa masika pale mtu anapomnyeshewa na mvua kwa muda mrefu Au Nenda maeneo yenye baridi kali au maeneo ya milima...
Back
Top Bottom