Kipindi Cha utoto nilikuwa najiuliza jiko la mafuta linawashwa kwa juu ambazo ndo Kuna zile tambi zake Sasa kwanini tusiwashe kwa chini ambapo Kuna mafuta na tambi zilipoanzia labda Moto utapanda juu na kuendelea kuwaka Kama kawaida
Basi siku moja nikachukua kiberiti nikafungua lile bakuli lake...
Kikubwa kujua masoko ya kuuzia hayo mashudu kwa dar tembelea tandale, River side, yaani maeneo yanayosaga chakula Cha mifugo ata mimi nauza vyakula vya mifugo pia ila bado biashara ni ndogo
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.