- Thread starter
- #21
Got you brotherJust let it go brother! Life goes on
Got you brotherJust let it go brother! Life goes on
Anakilazimisha kifoUkiachwa, jua kuachika. Kuwa king'ang'anizi ni tabia mbaya sana.
Tabia mbaya kabisa.
Sawa mkuuAmekubipu mkuh mpigie kabisa
Pamoja brotherFormula ipo. Na wewe kausha.
Naogopa kucomment isije kuwa huyo pisi ndiye nimempata jana!Nimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!
Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10
Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee
ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
Kama amekula maokoto yako mengi, njoo Tumroge akurudie au afeNimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!
Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10
Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee
ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
Pole lakini kubaliana na lililotokea acha mambo mengine yaendeleeIssue sio kuhandle mzee tatizo kuna mmoja lazima akuingie moyoni hata iweje wazazi wenyewe wana watoto wao favorite
Mpiga masta demu anamtingishia kiberiti kapanic na ameandika had uziNimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!
Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10
Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee
ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
.Pole sana kaka dahPole man haya mambo magumu mimi nilipoteza million 4 kwa mganga ili arudi ukiwa shida ushauri wowote unaona unafaa.
Alikuwa soulmate hadi kesho sijapata wa kuziba gap