Kuachwa kusikieni tu!

Kuachwa kusikieni tu!

Maisha yalivyo ya ajabu, waweza kuta jamaa mwenye penzi jipya na Manzi wako ni hawa hawa wanaokupa hop au kaangukia kwa akina Deep wa hapa JF maplay boy baada ya miezi 6 anarudi kwako kwa Spidi ya Ngiri.

Mtafute manually mkutane live mchenjie na kumzingua ikiwezekana mpige Karantini mjengoni siku 3.

Fake kuumwa uwekewe madrip hom au zahanati apigiwe na namba ngeni/nesi amuite hospital kam mwangalizi.
Make any smpathy ambayo itafanya aaaihairishe mpango wake wa kukuacha mdogo wangu. Usikubali kuachwa kinyonge mjini hapa komaaaa.

Chukua namba yake ya Benki tia milioni 5 mwambie....
Any way pole mkuu!
 
Nimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!

Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10

Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee

ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
Naogopa kucomment isije kuwa huyo pisi ndiye nimempata jana!
 
Nimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!

Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10

Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee

ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
Kama amekula maokoto yako mengi, njoo Tumroge akurudie au afe
 
Time heals mdogo wangu.

Ukweli uliousema ni kuwa si kila mtu pengo lake linazibika, unajifunza tu kuishi bila yeye…. (Haya ni maneno niliyotoka kumwambia rafiki jana, given his situation ya kuachwa gafla na mtu aliyepanga kumuoa na kufika naye mbali)

Ana hiyo second option yake lakini hayuko sure kama anaitaka, nimemwambia tu asubiri akiona ameheal ndio anaweza fanya maamuzi sahihi.
 
Nimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume wengi tunaitumia yani unakuwa na wanawake zaidi ya mmoja inaweza ikawa 3 au 4 ili mmoja akizingua basi pengo lake unaziba fasta!

Asee niwe mkweli hii formula ni kweli nzuri lakini kuna wanawake wengine mapengo yao kuzibika inachukua muda hata kama unao madem 10

Kuna pisi moja toka juzi haipokei simu, nikimtext anasoma tu then hajibu chochote hasemi shida nini yupo kimya tu na ndo nilimpitisha kwenye mchujo mkali ikiwezekana mwaka huu nimuoe lakin ghafla kanibadilikia kama sio yeye vile nikikumbuka zile ahadi na moments tulizo practice pamoja dah asee

ukweli ni kwamba hata uwe na madem 100 kuna yule mmoja ambayo akikuzingua asee lazima ulale na viatu kidogo kabla hujarudi kukaa sawa dah!
Mpiga masta demu anamtingishia kiberiti kapanic na ameandika had uzi.

Haya ndo madhara ya masta
 
Back
Top Bottom