Dream Touch
Member
- Mar 26, 2023
- 21
- 32
Nimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Uko mkoa gani na Bei yake huko ikojeNimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Kikubwa kujua masoko ya kuuzia hayo mashudu kwa dar tembelea tandale, River side, yaani maeneo yanayosaga chakula Cha mifugo ata mimi nauza vyakula vya mifugo pia ila bado biashara ni ndogoNimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.