Recent content by Mageta Opanga

  1. M

    I will retire after 75, says Museveni

    Katti uyogera kyi? "I will retire after 75" abiggambe wa?
  2. M

    CUF na Operesheni "Zinduka"

    Kichwa cha habari kingekuwa... Upinzani Wasuasua! Siri gani hiyo mbona mie sioni, haya mazingaombe?
  3. M

    Polisi Tarime wasaidiwa simu 100 - HII IMEKAAJE?

    Ndugu, Kuna ukweli na mashaka kwenye mtizamo wako. Mie mimacho tu. Walakini, Inaeleweka kuwa eneo hili limekumbwa na matatizo makubwa na mawasiliano yamekuwa hafifu...au hakuna kabisa. Nafikiri apongezwe Huo msaada utasaidia kwa njia moja au nyingene
  4. M

    Nichague chama au mgombea?

    Kwa mujibu wa wa wanaasisi waliopita...ni sheria na miongozo iliyowekwa kwa ajili ya mazoezi hayo ya kupiga kura, ndio ya kufuatwa-vile vile ina ambatana na siasa mbadala na sehemu\nchi husika. Ni vigumu ketanganisha matakwa ya chama na ya mwanachama! Vivyo hivyo ya chama na mgombea...
  5. M

    CCM kuuza shule zake za WAZAZI kwa Serikali?

    Bwana Idimi, Kuna mengi ya kujiuliza hapa. Wana uza shule..hususan Shauritanga kwasababu ya kukimbia kuwajibishwa? Shule hizo haziwezi kubinafshishwa, tena? Nafikiri swali lilikuwa ni kujuwa kuhusu hiyo ripoti. Ni vigumu kuelewa mwandishi alitaka nini haswa.
  6. M

    Zitto: Nitagombea Ubunge 2010

    Kwahiyo bado ataendelea na 'Jimbo' lake Kigoma?
  7. M

    Zitto: Nitagombea Ubunge 2010

    Ubishi wake ndio 'ulimbwende wake'... ni sifa! Ubunge wa kitaifa? Si achaguliwe kiti maalum basi... kuna Utaifa hapo! Mchango wake uheshimiwe.
  8. M

    Nichague chama au mgombea?

    Ndugu, 1.Kama umepoteza haki-si uone kwamba haki yako inarejeshwa kabla ya kupiga kura haramu? 2.Upo nchi gani? Yote hayo nafikiri yanamuangukia mchaguzi, mpiga kura, bila kujali chama au mgombea. Kwa vile tunaenda na wakati, ni vizuri ukapitia unayotegemea kwenye chama na mgombea. Kwa...
  9. M

    Zitto: Nitagombea Ubunge 2010

    Michango yake inaeleweka. Kuibua hoja za ufisadi sio umihimu wa kuwepo bungeni. Je atagombea ubunge tena? Wapi?
  10. M

    Zitto: Nitagombea Ubunge 2010

    Hivi kuna ukweli na haya 'Matamshi ya wakuu' ? Rorya?
  11. M

    CCM kuuza shule zake za WAZAZI kwa Serikali?

    Sijawahi kupenda hesabu , sababu moja ni hivyo invyoaandikwa! Halafu baada ya miaka kumi na tano bado tu niwaulize Scotland Yard? Mimi nawajua 'WAZAZI' wengi waliokuwa CCM, na hata siku moja sijawahi sikia wana shule! Hata minong'ono! Leo hii wanauza shule? Naomba nielimishwe
  12. M

    GE2010 Orodha ya Majina ya Wabunge Vijana 2010

    Elfumbili na kumi na tano ndio utaona vumbi kweli kweli...Vijana tujizatiti!
  13. M

    Obama: Tanzania ni mfano wa kuigwa

    Tanzania ni mfano wa kuigwa kweli...Hakuna sababu yeyote ya kutokuigwa? Ukweli utabakia pale pale ni 'watu' wa Tanzania ndio wa kuigwa-Ustaaarabu,Utanashati,Uongozi wa hekima; Imechangia kukua kwa Siasa mbadala hapa Duniani-hususani Afrika. Kuna mengi tu, ila nafikiri utendaji, haswa...
  14. M

    CCM kweli inaiba kura?

    Nimesoma kwa makini lakini huo mfano wa kulinganisha...mhhh Una maana CCM "itawa gawia wanawake nguo za ndani..." ikichaguliwa? huo ndio uchaguzi mnaofikiria/unaofikiria? 'Je kwa takwimu zilizokuwepo, kura ziliibiwa?' Kwa undani?
  15. M

    CCM kweli inaiba kura?

    Sidhani CCM inaiba kura. Wananchi tunajiibia kura! Wenyewe! Pakulalama... kwenye dola. Milalamo huwa ndio misuluhisho mbadala. Wananchi ndio walioiba kura Mwandani ni wako mwenyewe, pevuka utoe songosongo.
Back
Top Bottom