Ndugu,
1.Kama umepoteza haki-si uone kwamba haki yako inarejeshwa kabla ya kupiga kura haramu?
2.Upo nchi gani?
Yote hayo nafikiri yanamuangukia mchaguzi, mpiga kura, bila kujali chama au mgombea.
Kwa vile tunaenda na wakati, ni vizuri ukapitia unayotegemea kwenye chama na mgombea.
Kwa...