TEH TEH TEHHuyu jamaa ni 98% black
Kwanini unasema hivyo!!
TEH TEH TEHHuyu jamaa ni 98% black
Hongera JK na timu yako. Adui zako wataziponda sifa ulizopata toka kwa Obama lakini husijali wewe kanyaga twende, wananchi wako nyuma yako.
Kwa nini asiseme nchi yake ya kuzaliwa ya Kenya ambayo iko juu kiuchumi na kihuduma kuliko sisi?
Wale kwanza shule ni bure kabisa sisi tunalipa.
Hospitali ndio usiseme hadi viongozi wetu wengine wanakimbizwa huko.
Lakini mimi sishangai maana hawa wamarekani wanasifia mahali wanapodhani watapata maslahi. Si ajabu kapewa ahadi ya mgodi hapo.
Masatu umesikia?
Sisi si wamarekani wala hatusubiri wamarekani kuja kuwa kipimo cha maendeleo mfu yetu. Sisi waliwanchi ndio hasa kipimo chenyewe. Tunapima wenyewe Sisi hasa tunaoishi danganyika hii na si watanzania mlioamua kuishi ulaya au kuila nchi. Pole kama mnadhani Obama atakuwa mpima mafanikio yetu.
Give me a break, yaani: Botswana, Namibia, Angola, Kenya, Gabon, South Africa, Mozambique, Kenya, Ghana, Nigeria etc etc ziige Tanzania? Too general, tusijidanganye!!Kuna watu hapa hawataki kusikia jambo lolote zuri kuhusu Tanzania. Ndio tuna matatizo lakini huenda tu nafuu kuliko wenzetu wa nchi zingine za Afrika ambao wana hali kama ya kwetu.
Je hayo maneno yatufanye tukae na kushangilia? Hapana, ni changamoto kwamba tukiamua tunaweza kufanya yaliyo bora. Tanzania bado tuko nyuma na wananchi wetu wengi bado wanaishi kwa shida kubwa. Ila pia sio kweli kwamba serikali ya JK haijafanya chochote.
Tumuunge mkono JK badala ya kila siku kulalamika tu. Sisi wenyewe ndio tunaongoza kufisadi nchi badala ya kutumia muda wetu na resources zetu kujenga nchi yetu.
Kwani nani alikuambia kuwa vipofu ni watanzania tu?Kwa wale wasio ona kazi na mafanikio ya serikali yetu walau wakubwa huko wanayaona.
And the message is... AfricomWe've had [President] Kikwete from Tanzania in my office. And in each case, I'm trying to send the same message...