Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Mimi nafikiri unatakiwa "uchague mtu (strong man/women), kwasababu hapa kwetu strong man anaweza kufanya kitu hata kwenye chama kibovu, unlike mtu wa hovyo hata kama chama kizuri kwasababu mtu wa hovyohovyo hawezi ku-argue his/ her case mbele ya chama...though we need both strong man and strong institution tofauti na obama alivyosema africa inahitaji strong institution than strong man, nafikiri tunahitaji both.