pole sana bro! ila tahadhali kuhusu hawa dada zetu au mama zetu katika suala la mapenzi huwa zinatolewa na wanasema bank zenyewe zinamiliki pesa nyingi kuliko sisi ila hazijawahi kutoa pesa bure kisa uzuri wa sura au la! hivyo tuwe tunajifunza kupitia mifano hiyo. Nafikiri kuna mikataba mingi...
hiyo sehemu ni kwel ipo kwa sub jamii ya wasukuma wa meatu mara nyingi jadi hii huifanya nyakati za mavuno yaani kiangazi. wanachifanya wanaandaa sherehe vijana wanakusanywa jinsia zote waliofikia rika ya kuoa au kuolewa halafu hiyo tafrija wanawake wakimbia na wanaume waanza kuwafukuza...
duh bila shaka huo ni mkopo sijawahi kuona fake life kama hiyo ushauri kabla hujamuacha mwambie ukweli na kama atapingana na wewe basi fanya mkopo uishie hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.