Napata wapenzi wakubwa kiumri

Napata wapenzi wakubwa kiumri

Wakuu Mimi na tatizo moja ambalo linanikuta katika mahusiano.

Mara nyingi kama sio mara zote nimekuwa najikuta nimeangukia katika mapenzi na watu walionizidi umri. Sio masugar mama hapana ila difference inakuwepo 2 to 4 years na pia nkitafta rika langu inakuwa shida. Nifanyeje?

PS: Nina umri wa miaka 24

Sent using Jamii Forums mobile app
Reference
Drake
,,*God Plan

Ndugu iyo n mipango ya mungu labda ungepata saizi yako ikawa kila day wanakutosaaa
Rizika tu na hali yako
 
Mwanaume ata akizidi miaka 10 sio mbaya but kwa mwamke kumzid mwanaume haipendez sana hasa kama mna life ya kibongo alafu ya hali ya chini ambayo kuzeeka inategemea umezaa mara ngapi sio umeishi mda gani, nawapa pole wanaume ambao wake zenu walinenepa baada ya kuzaa.
 
Mwanaume ata akizidi miaka 10 sio mbaya but kwa mwamke kumzid mwanaume haipendez sana hasa kama mna life ya kibongo alafu ya hali ya chini ambayo kuzeeka inategemea umezaa mara ngapi sio umeishi mda gani, nawapa pole wanaume ambao wake zenu walinenepa baada ya kuzaa.
mwanamke kunenepa baada ya kuzaa ni normal physiology kuna age pia ikfka tunaexpect mwanamke kunenepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume ata akizidi miaka 10 sio mbaya but kwa mwamke kumzid mwanaume haipendez sana hasa kama mna life ya kibongo alafu ya hali ya chini ambayo kuzeeka inategemea umezaa mara ngapi sio umeishi mda gani, nawapa pole wanaume ambao wake zenu walinenepa baada ya kuzaa.
Well said karibu Tina George

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Mimi na tatizo moja ambalo linanikuta katika mahusiano.

Mara nyingi kama sio mara zote nimekuwa najikuta nimeangukia katika mapenzi na watu walionizidi umri. Sio masugar mama hapana ila difference inakuwepo 2 to 4 years na pia nkitafta rika langu inakuwa shida. Nifanyeje?

PS: Nina umri wa miaka 24

Sent using Jamii Forums mobile app
tafuta hela kwanza
 
Kujiendekeza tuu....ndo wazeeke mapema? Wanashindwa kitunza miili yao

Vijijini wanawake wanazeeka kwa uzazi (watoto wengi) na maisha magumu, mjini wanazeeka kwa kunenepeana kabla au/na baada ya kuzaa katoto kamoja tu.... hongera kwa kujua kujitunza.

Lucky me
 
Vijijini wanawake wanazeeka kwa uzazi (watoto wengi) na maisha magumu, mjini wanazeeka kwa kunenepeana kabla au/na baada ya kuzaa katoto kamoja tu.... hongera kwa kujua kujitunza.

Lucky me
Yaan aibu mtu mzma kushindwa kuusimamia mwili wako mwenyewe, alafu ajabu ukimuita bonge ananuna anakujibu naitwa Neema sio bonge😂
Yaan wanajua kabisa unene mbaya.
 
Back
Top Bottom