kweli kabisa mtoa maada!!utakuta jamaa anasifia kwa demu,hasa mademu ya facebook huwa wanasifiwa sana!!!!oooooh!!Binti we mzuri kweli mithili ya malaika japo mbinguni sijafika ila ninauhakika kwa kila mwanaume aliyeumbika na kukamilika akikuona tu lazima udenda utamtoka!!!!Mmmmmmmm!!mcheki sasa...
Dah!!uandishi wako ulikuwa nzuri sehemu ya kwanza sasa hii sehemu ya pili mkuu hutenganishi maneno!!!!Iko poa sana hii hadithi twende kazi mkuu sehemu ya tatu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.