Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

Kuna Watu Humu Wanajipa Sifa Na Kujifanya Wanashobokewa kumbe Ni Midomo Zogoa
 
kuna wanaume akikutongoza utasikia

-dadangu ana shamba kubwa goba
-mjomba wangu ni waziri
-nyumba ya babangu iko mbezi na nyingine masaki

WHO CARES!
 
Naomba elfu thelathini kwa nini asiseme elfu hamsini
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

mkuu umetsha
 
Simpo...unanipendea nn? - Napenda jinsi ulivyo.......ntajuaje unanipenda??? - ndo maana nipo hapa....wengine huwaoni?? - wengine upuuzi mtupu hakuna anaekuzidi......akikwambia huna mvuto, we chomoa burungutu mfukoni halafu unarudisha...na akikwambia sitaki muombe contact za rafiki yake

mkuu salute kwako
 
Back
Top Bottom