Recent content by Magari damu

  1. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    Shukran ndugu
  2. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    😂😂dah.. asante mtaalam
  3. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    Aise.. basi nimeyakanyaga kweli kweli
  4. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    Habari ndugu zangu Niko na changamoto kidogo. Nimefanya kazi na shirika X kwa muda wa miezi nane na kwenye mkataba wamesema kutakuwa na siku 28 za likizo ya kulipwa ambazo mimi sijatumia hata siku moja. Sasa imetokea nimeresign, ila HR anasema siwezi kulipwa hio hela ya likizo kwa sababu mkataba...
  5. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Hivi oral interview za serikali ni lazima kujibu maswali yote kwa ufasaha?

    Hakunaga mtaalam kaka kwenye oral. Yani panel pale ndo wenye kila kitu. Ila jitahidi tu ujibu maswali yotee
  6. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    1. Dont stress yourself 2. Amini what you have in mind na kubwa zaidi UJIAMINI 3. Vaa smart, usiwe mng'ao 4. Jitahidi kujibu maswali yote utakayouluzwa. 5. Swali la "tell us about yourself" ndo sehemu ya kukusaidia kutoa uwoga..jitahidi kudraft majibu ya hilo swali then rehearse severally hata...
  7. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Hivi oral interview za serikali ni lazima kujibu maswali yote kwa ufasaha?

    SPeed has nothing to do. Confidence ndo jambo la msingi kuliko yote. Unaweza ukareply hata jibu ambalo sio kweli but confidence ulokuwa nayo ikakubeba... confidence, eye contact.. hizi za muhimu
  8. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Hivi oral interview za serikali ni lazima kujibu maswali yote kwa ufasaha?

    Hii sio kweli. Ukimaliza written, oral pia inajisimamia yenyewe. Averaging doesnt work utumishi
  9. Magari damu

    JamiiForums Tanzania dereva nauliza

    Tayari tokea juzi
  10. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu naomba mnisaidie whatsapp group la nafasi kada ya DRIVERS za MDA &LGA au TRA.
  11. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Anayejua dawa ya bawasiri inayoponyesha msaada tafadhali

    Tafuta matunda damu..kwa siku hakikisha unakula 6. Yahifadhi frijini...kila siku kula 6. After 2 weeks naamini utaona kitu
  12. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kukumbushana kabla hujatuma application ya kazi

    Habari zenu ndugu zangu. Katika harakati za kujipambania kutafuta ajira na kulingana na kasi ya teknolojia ya dunia inavoenda, kuna mambo muhimu sana ya kuzingatia kabla ya kusubmit application yako ya kazi 1. ATS-CV Huu ni mfumo wa uchakataji wagombea (Applicant Tracking System) ambao...
  13. Magari damu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Naomba ucheki DM kaka
  14. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Nataka kujifunza kuhusu Dark Web

    Utapigwa mdogo wangu. Haifundishwi hio
  15. Magari damu

    JamiiForums Tanzania 4 Fortuner VS Discovery 4 tuagize kutoka Africa ya Kusini au Singapore?

    Hapana, 1HDT-FTE bei zake za kawaida sana hata ukinunua mkononi mwa mtu yani. Na hata ukinunua mkononi still unakua na uhakika wa reliability tofauti na mtu alieagiza disco. Mkononi kukutana na 100 series ya 25-35m zipo sana. Labda ukutane na dosari ndogo ndogo ambazo ukiweza kuzifix unakua...
Back
Top Bottom