Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 1,079
- 4,041
Rudi tena kaangalieMimi gari yangu imeandika " check engine" nimefungua bonnet nimekuta engine ipo. Kurudi kuwasha Tena, bado inasema check engine
Rudi tena kaangalieMimi gari yangu imeandika " check engine" nimefungua bonnet nimekuta engine ipo. Kurudi kuwasha Tena, bado inasema check engine
Umetisha MwambaMimi gari yangu imeandika " check engine" nimefungua bonnet nimekuta engine ipo. Kurudi kuwasha Tena, bado inasema check engine
😝😝😝😝Umetisha Mwamba
Ulitaka utembelee siku ngap ? 😂Kwema wakubwa..Nina allion 1zz ila sasa mafuta ya 70k ambayo ni kama lita 17.2 natumia siku 5 tu, na hapo distance nayotembea kwa siku ni 23km kwenda na kurudi. Plugs, coil nimebadili na oxygen sensor pia nimeisafisha lakini bado ulaji wake ndo huo. Ushauri wataalam
Hapo ni sawa na 7km/l ni sawa na crown 4 gr 😂, unatumia spark plug gan hizo unazoziita original code zake ni zipi?!Kwema wakubwa..Nina allion 1zz ila sasa mafuta ya 70k ambayo ni kama lita 17.2 natumia siku 5 tu, na hapo distance nayotembea kwa siku ni 23km kwenda na kurudi. Plugs, coil nimebadili na oxygen sensor pia nimeisafisha lakini bado ulaji wake ndo huo. Ushauri wataalam
Au 660 ccMuwe mnanunua gari za cc 990 to 1290, huwezi kuona hawa watu wakilalamika mafuta.
😅😅😅😅Mimi gari yangu imeandika " check engine" nimefungua bonnet nimekuta engine ipo. Kurudi kuwasha Tena, bado inasema check engine