Recent content by magafumukama

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi CHADEMA haina wazee wa Dar es Salaam?

    Wewe unawataka wa nini?
  2. M

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Rais Magufuli vunja ATCL. Anzisha Tanzania Airways ama Kilimanjaro Airways

    What is in a name? Cha muhimu ni uadilifu na kuwazuia akina nyoka mwenye makengeza kuwaa ndikia mikataba basi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni tuhuma tu Lowassa kumbe si Fisadi!!

    Unajua huo ndio ushaidi wa kiwango cha unafiki kilivyokuwa kikubwa kwa hao wajomba zetu. Kama kweli huyo mzee ni fisadi kwa nini asifikishwe kortini lama kina kitilya masamaki nk?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Rc Gambo CdM waitana Arusha kwa dharura

    Nonsense watu wasikuyane kisa mtu fulani kawa fulani ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Neno la Kuudhi: Bado Tungemkataa Lowassa na Mabadiliko Yake!

    Mko wangapi wenye msimamo huo? Sijui kama ninatambua kuwa hata mwenyezi Mungu angefanya muujiza wake a kamleta malaika hao unao watetea wangemrubuni?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Adui yetu ni nani na tuna fursa gani za kumshinda? Tunamlenga au tunamkwepa?

    Niliwahi kusema hapa kwamba hata mwenyezi Mungu angefanya miujiza wake a kamleta malaika akapewa uongozi kupitia kwa hao wajomba moja Kati ya mambo Mawili litaokea. Ama wanarubuni awe fisadi na anakataa watamnyang'anya silaa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kimei(CRDB): Hali ya uchumi nchini ni tete

    Yaani Dr Kimei ndo chochezi au nani? Sijawaelewa. Yaani mtu kuzungumza ukweli ni chochezi? Kweli jamani? Tuache masihara
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Ole wao CHADEMA, Tutaubomoa UKUTA

    Ha ha ha huoni huo ushahidi umempandisha cheo? Kwani mbinguni ni lazima kuwe kule anakokaa jehova tu? Yuko na yule mungu wa 666 nako kwake mbinguni
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ntibenda atenguliwa

    Kisa ni kumtunishia misuri Lena?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waliokuwa Viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wafikishwa mahakamani

    Usanii siyo lazima kucheza mdundiko
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe, nitagombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    Mmeanza. Mbona nyie mnakabidhiana vijiti? Kuna kura pale?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wanaofikiria uchaguzi mwingine Zanzibar wanapoteza muda

    Of course sisi hatutegemei . Lakini siku na wakati wa Bwana ukifika utafanyika wa haki
  13. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli acha kumtumia Ndalichako kujijenga kisiasa, mambo yameshakuharibikia

    Ha ha ha. Inajiamini?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nchi tajiri sana, tunabana matumizi ili iweje? Kwa Msingi upi?

    Unakumbuka Ghadafi as Libya? Huyo ndiye alikuwa akiutumia vizuri tajiri wa nchi yake kwa raia wake. Lakini sisi mmmhhhh
  15. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Tulia Ackson: Situmii madaraka yangu vibaya, atoa ya Moyoni

    Ni nani anayeweza kumwamini? Labda mamlaka ya uteuzi
Back
Top Bottom