kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 496
Nimekuwa nikiona mikutano maalum ya CCM na pengine kujibu hoja mbali mbali kupitia watu wanaitwa wazee wa dar es salaam. Ukilinganisha vyama vyote vina mabaraza ya vijana UVCCM pamoja na BAVICHA vile vile na makundi ya akina mama pande zote mbili .
Kuepuka mikutano ya hadhara ambayo siku nyingine inazuiwa wangekuwa wanaita vyombo vya habari na kuongea na wazee wa busara.
Kuepuka mikutano ya hadhara ambayo siku nyingine inazuiwa wangekuwa wanaita vyombo vya habari na kuongea na wazee wa busara.