Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,409
Uteuzi wa Gambo wa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Arusha imewachanganya viongozi wa chadema. Wameitana ktk kikao cha dharura kesho kumjadili na kupanga mikakati. Taarifa iliyotolewa na kabibu wa cdm mkoa wa Arusha Mstahiki Kalist Lazaro ambae pia ni meya wa jiji la Arusha limewataka wenyeviti wote wa halmashauri zinazongozwa na cdm mkoani arusha na wabunge wote kukutana kesho. Msiyempenda kaja hivi lile tangazo la Mh Lema la kumuhamisha mrisho Gambo Arusha limepotelea wapi?