daa kuna kipindi nilichelewa kirud kwa amko keko nilikua natoka kwa mamkubwa k-nyama, nlipitia kkoo mida ya saa5 kutoka kkoo mpaka keko nlikosa gar ikabid nitembee, kufika karibia na mataa ya keko kwenye lile daraja la treni nkaona njemba zinanivizia, salama yangu nikaona nijifanye kama wao...
'Itikadi ni imani' ... naamina imani hubadilika, watu hubadili imani wanapoona waliyokuwa wanayaamini hawayaishi, so huwez kuendelea kuamin kitu ambacho kiwez kukiishi.. conclusively kama unaweza kabadil imani it is easy kubadil itikadi!
Mafinga has potential to grow than kahama, i have been in both places! Mafinga has timber which is more valuable to me than minerals!!! Which 4 me has less impact to locals than timber!!
Duuu! Ipo siku Mungu atawainua wanyonge tunaokosa panadol kwenye vituo vyetu vya afya....kama alivyomuinua T.A.M.L kutoka kwenye matundu ya risasi yaliyotoboa mwili wake!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.