Tatizo wadada mkisha ingia kwenye ndoa mnakuwa magogo kitandan wakat kabla ya ndoa mlikuwa mnatoa ushirikiano balaa!!Khoooo
100%Tatizo wadada mkisha ingia kwenye ndoa mnakuwa magogo kitandan wakat kabla ya ndoa mlikuwa mnatoa ushirikiano balaa!!
interesting aisee
Swali, wanawake mfanyiwe nini ili muache kupenda kwingine?Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Mwanaume anachohitaji ni heshima. Hata biblia imesema( lakin ni hii ni kwa wale waanaojiheshimu.)Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Huko wanatuomba,but mwanamke ukishaacha kumuombaomba hela mwanaume ataona kama muujiza na kamwe hawezi chepuka coz hawezi pata mwingine kama weweHuko nje hauombwi