Ndugu zangu,
Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuandikisha watoto mali kisheria. Mimi nina kajumba kangu ila nataka niwaandikishe wanangu wawili. taratibu zipoje? au unachukua tu karatasi unaandika kama wosia.
Nisaidieni jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtoa mada bogazi kweli' wale mabwege wanaokufaga kula maka nani anakamatwaga! watu wangapi wanakanyagana wakati wa hija na wanakufa? ulishawahi kusikia imamu kapelekwa mahakamani.
Nyinyi ndugu zetu wa Mnyazi Mungu sijui mnamatatizo gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo yanawahusu nyinyi wanaume wa dar' nyi endeleeni tu kula chips yai mwisho wa siku mtakula mpaka mavi ya kuku kwa aajiri ya kuongeza nguvu za kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app
ulishawah kuona wapi kesi ikiungiruma kutokana na vifo vinavyotokeaga kule Maka wakati wa Hija?
vifo vya kwenye mikutano ya chadema ama ccm ulishawahi kusikia watu wameshtakiwa lini?
uwanjani watu wanakufa ulisha wahi kuona Simba au Yanga wameshtakiwa? Tatizo nyi wenzetu shule imewapitia mbali...
Kuna mwanajeshi alikuwa anauguliwa na mwanae, akanifata nimuazime pesa ampeleke mtoto wake kwa sangoma kwa kuwa hospital wameshindwa kujua anaumwa nini. Aliniomba nimuazime kama laki na nusu hivi nikampatia hiyo hela.
Sasa mshahara umetoka nikimpigia simu hapokei. SMS hajibu. Yaani kwa ujumla...
Mara kadhaa nimekuwa nikileta mada ya kuhusu mama watoto wangu ambae ni Islamic na wazazi wake wamekataa mtoto wao asibadili dini ili tuweza kuwa mume na mke mbele ya MUNGU kwa sababu Mimi ni Christian.
Ukweli ni kwamba tumetoka mbali sana kimaisha toka tulipokuwa tumepanga mpaka kujenga na...
Mbona nyerere hakupelekwa butiama moja kwa moja. Hujachangia chochote huna undugu nae kaa kimya hayakuhusu. ACHA KUFANANISHA NYERERE NA VITU VYA KIJINGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipokuwa unafurahia kifo cha OSAMA BIN LADEN ulikuwa hujui kama anawanae?
Haya mlipokuwa mnaunga mkono kifo cha Gadaff mlijua hana ndugu? Acheni unafiki kama msiba umekugusa ni wewe na nafsi yako msilazimishe mtu aungane maombolezo yasiyo muhusu. Kashindwa kukaa na dukuduku moyoni
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.