Hujui unaloliongea kaka Uarabuni kuna racism ile mbaya just imagine mpaka leo kuna slavery bado wahindi wanatumikishwa Dubai na Saudi Arabia wananyanganywa passport wasirudi makwao
Halafu usilinganishe ndoa na sexlife ya kubangaiza huku anagongwa na huyu na yule kama shamba la bibi lakini kwenye ndoa yupo na mmoja and on top of that there is marriage is not about sex only but many petty relationships are sex oriented
Hujui kitu demu akigongwa sana anawahi kuzeeka naturally nadhani hulijui hilo chunguza makahaba na vicheche wa makazini walivyokuwa chuo walikuwaje mzazi ?.Sema maisha ya siku urembo upo wa kila aina kuna mdomo feki, hips feki hadi skin tone inaweza kubadilishwa papuchi iliyopwaya inageuzwa...
Huyo atakuja keolewa na mtu wa kawaida saanaaaa yaani ntashangaa kuona mwanaume mwenye kila sababu ya kuwa admirable kwa beautiful women akija kuoa papuchi ilioexpaya kwa upande mwingine atakuwa ametusaidia kwani gharama za kumgonga zitapungua Mke wa mtu hana gharama yakhe
Kwa nini usuke ntajie mtu successful professionally aliesuka inaonesha hauna focus ya maisha kama unapata muda wa kusuka where do you see yourself in 5 years ?
Kwa kosa gani ? Fanya research matajiri wangapi wamekuwa filthy rich kwa kufanya big deals na gvt za nchini kwao Abromovich na wengine wengi hana mistake wenye mistake ni gvt kwa kutojali maslahi ya serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.