Recent content by madogidogi

  1. M

    IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    jibu ni 45 kiatu ni 5 hivyo viatu ni 10, mtu ni 5 na filimbi ni 3
  2. M

    Zikiwasili ndege zote zilizobaki kuna uwezekano hasara ikaongezeka zaidi

    Pia treni za mwendokasi zikikamilika wengi watapenda utalii wa ndani kuzitumia hizo badala ya kutumia ATC
  3. M

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Yuko sahihi 100% tena ajira zinazoitwa permanent and pensionable azisitishe watu waajiriwe kwa muda mfupimfupi kama hamna tija ondoa ajiri wengine
  4. M

    Magufuli: Wakizuia bidhaa zetu kwao na sisi tuzuie za kwao siku hiyo hiyo

    kama hatuna maziwa ya ku-export tutazuia nini? na kama tunayahitaji (import) alternative itakuwa nini?
  5. M

    Lissu: Wanachama wamepitisha azimio la kumvua uanachama Mwakyembe, wanasubiri maamuzi ya viongozi

    Dawa ni kumsikiliza hata kama ni kisanii then anaonywa na abaki tu. isije ikaonekana kuna kulipizana visasi
  6. M

    Wabongo si wa mchezo mchezo

    ukishiba usimwonyeshe Mungu tumbo
  7. M

    Hivi wa kwa leo huyu anacheka au analia wakuu?

    Mungu kaumba alivyotaka yeye ili utukufu wake uheshimiwe. Kumbuka bado uu hai na lolote laweza kutokea ili Mungu azidi kutukuzwa. Mshukuru Mungu ulivyo (sikujui) kwani hayo ndio mapenzi yake na tena mshukuru
  8. M

    Wenye watoto kutoruhusiwa kufunga ndoa kanisani wakiwa wamevaa Shela

    Hii itachangia dhambi kubwa zaidi ya utoaji mimba
  9. M

    Kwa wanandoa ishakukuta na ulitatuaje?

    Pambana na mambo ya maendeleo huku ukimtanguliza Mungu. Muda utaenda wewe utaendelea huku yeye akizeeka bila kuona unaterereka. Pia mpende hata kwa unafiki. mwisho jua huyo mwanamke ni kama project yako ya muda mrefu hivyo vumilia
  10. M

    Msichana wangu wa kazi kakutwa na VVU

    Kaa nae kwa upendo mkubwa uhakikishe amepata ushauri nasaha na ameanza kutumia dawa kisha tafuta utaratibu mzuri wa kumrudisha kwao akiwa bado anaamini unampenda na ufanye matendo ya huruma ya kumfuatilia unakomrudisha aendelee na dawa. Yaani mfanye sehemu ya familia yako japo hatokuwa hapo.
  11. M

    Ushauri katika kadhia hii ya kifamilia

    Umri wenu bado mdogo sana katika ndoa. Mshukuru Mungu kwanza kwa kuonyeshwa kucha mapema. kuwepo kazini na kutokuwepo hakutakuhakikishia wao na mubosi kuachana. Pima vinasaba lea wanao kama itakuwa ni wako na kama la chapa mwendo Hata kama ni wako talaka umeshatoa achana nae pia kumbuka...
  12. M

    Safari yangu ya kumuona Maxence, nimejifunza mengi gerezani

    Najaribu kufikiria kifanyike nini ili watu wengi wasizoee kuwekwa mahabusu. Tuombe huruma ya Mungu hili lisizoeleke Tanzania
  13. M

    Picha ya Mwigulu Nchemba na Mwanae yazua mjadala mitandaoni

    shule binafsi zifutwe zote tufanane la sivyo # itaendelea kusome..
Back
Top Bottom