Hivi wa kwa leo huyu anacheka au analia wakuu?

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,969
6,460
FB_IMG_1488089185077.jpg
 
Nyie under sixteen mda shida sana,Anyway akitafutacho mtu ndio hukipata, usitukane wakunga na uzazi ungalipo..labda kama we ni TASA/ MGUMBA/JAMES DELICIOUS/HANISII/ etc basi endelea kutafuta na nyingine utuletee ili upate sifa..Kwaresma inakuja fanya toba Mungu atakusamehe
 
Mungu kaumba alivyotaka yeye ili utukufu wake uheshimiwe. Kumbuka bado uu hai na lolote laweza kutokea ili Mungu azidi kutukuzwa. Mshukuru Mungu ulivyo (sikujui) kwani hayo ndio mapenzi yake na tena mshukuru
 
Majibu ya post nyingi yanapendekeza kuwa mashindano ya urembo na ulimbwende ni kejeli kwa Muumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom