Recent content by Madenge Origino

  1. Madenge Origino

    Prof. Lipumba amemteua Mbarouk Seif Salim kuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

    Hivi cuf bado ipo hai kumbe🤣🤣🤣! Usaliti haujawahi kumuacha mtu salama.
  2. Madenge Origino

    Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

    Mkuu hilo ni igizo kutoka juu🤣🤣🤣
  3. Madenge Origino

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Kamarada Humphrey Polepole kuzungumza na Vyombo Vya Habari kesho Ijumaa Novemba 20, 2020

    Chakubanga kazini! Aisee! Kumbe zile pesa za Covid kutoka EU ndio zimenunua maV8 yenu CCM?
  4. Madenge Origino

    CHADEMA wekeni pingamizi Mahakama Kuu ili matokeo yasitangazwe baada ya Mawakala wenu kufanyiwa figisu

    Hapo inahitajika nguvu ya Umma tu sasa. Hakuna cha mahakama wala nini
  5. Madenge Origino

    Tusitengeneze hamaki: Hizo kura feki zinapigwaje?

    Mzee mwenzangu naona kidogo kidogo unaanza kupoteza kumbukumbu. Hivi huelewi kinachoendelea kuhusiana na mawakala wa upinzani kutimuliwa vituoni? Unazungumzia wasimamizi wa uchaguzi jee unakusudia hawa makada wenzako wa CCM? Mwenzako Mwalim alipoona anaanza kupoteza network basi aliamua...
  6. Madenge Origino

    Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

    Si chombo cha habari tu bali hata hayo maji unayokunywa huko kikijini kwenu ni kwa msaada wa watu wao! Khanithi mkubwa wee
  7. Madenge Origino

    WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

    Kwa utolopo huu uliandika bila shaka yoyote wewe utakuwa ni mzee wa Likwidi tu!
  8. Madenge Origino

    Kilimanjaro: Diwani wa CCM Juma Raibu avamiwa na Kuvunjiwa vioo vya magari

    Nenda kachuke buku 7 Lumumba! Utumbo kwa leo unatosha
  9. Madenge Origino

    RC Kunenge: Mvua zimesababisha vifo vya watu 12, nyumba 107 zimesombwa na maji na nyingine 800 zimezingirwa!

    Kenge wewe na ifikapo oktoba 28 basi pia tutakuwa na ID kumi kumi za kupigia kura!
  10. Madenge Origino

    Tuwape pole sana wana ACT Wazalendo

    Hassani Mwalimu ndie yupi,? Au umekusudia Hassani Abbas yule msemaji wenu wa uongo? Katafute mbege unywe siasa tuachie wenyewe.
  11. Madenge Origino

    Barrick Gold Mining itamkabidhi Rais Magufuli Tsh 100billion

    Hizo si pesa kutoka kwazMabeberu! Naona CCM mumegeuga mbuzi joke sas
Back
Top Bottom