Hii kampuni sio ya magu bwana hii kampuni ina zaidi ya miaka 40 inafanya kazi kipindi hicho Magu akikuwa ana pesa gani ya kumiliki kampuni tena ya Road construction wakati alikuwa mwalimu tu hii ni kampuni ya wahindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.