Kaka, Kange Lugola angepewa hii kamati, nakwambia kungenyooka huko TAMISEMI, tatizo ni je, CCM wako tayari kumpatia ili aimbue serikali yao dhaifu? wanavyoona wao, Lugola ni zaidi ya mpinzani katika kutekeleza ilani ya chama....vinginevyo tuombe mungu tu kaka!
Kaka wapo wengi sana, hao uliwtataja ni baadhi tu.............yaani kwa magamba....wabunge wanaojua wajibu wao ni wawili tu: Filikunjombe na Lugola, waliobaki ni ma-mbulula
Habari,
Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26. Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.