Kamati ya PAC: Cheyo na Zitto ngoma nzito

Kamati ya PAC: Cheyo na Zitto ngoma nzito

Mmmh kweli huyu supika hana dhamira njema kwa hii Nchi yaani na hili jembe Anxphard Lugola amelihamishia kwenye kamati ya LAAC!!katika kamati za bunge zilizokuwa na wajumbe active na wachapa kazi ni ile ya Mashirika ya Umma na wajumbe wake sa huyu Bi mkubwa sijui anataka Nchi iuzwe sababu naona ameidhoofisha makusudi.
 
Mkuu hapo umesema na kunigonga utosini.

Watu wameng'ang'ania mwenyekiti, mwenyekiti. Cha muhimu ni mbunge kuwepo kwenye hiyo kamati. Ukiona kuna kelele nyingi, kwa Tanzania, hii ni moja ya sign ya kuwepo maslahi fulani. Inashangaza kuna wabunge mpaka wanafanya kampeni za pesa. It's absurd.

Mkuu naomba kupishana mawazo!

Kwa mfumo wa tanzania kiongozi ana nguvu sana ya ku-determine uelekeo wa maswala muhimu maana hakuna checks and balance system.
Utashi wa kiongozi una-dictate almost everything.
Kiongozi ni msemaji wa taasisi anayoiongoza

Kiongozi dhaifu ataendesha kwa ulegelege....Huhitaji ushahidi kujua Zitto ni kiongozi bora kuliko Cheyo linapokuja swala la maslahi mapana ya nchi.
Zitto ana aspiration za kuwa kuwa kiongozi mkuu siku za usoni kwa hiyo anajua atapimwa kwa matendo yake ya sasa wakati mzee Cheyo anasogeza siku.

Kwa hiyo si sahihi kwamba wote wanasukumwa na maslahi zaidi na kwamba unaweza kufikia malengo tarajiwa hata bila kuwa kiongozi....ila ukweli huu hauondoi ukweli mwingine kwamba kuna maslahi na fursa za ziada unapata pindi ukiwa kiongozi.

Mtazamo tuu....
 
Hao wawili nafikiri ndo wabunge wa upinzani kwenye hii kamati. Sijui wana nguvu kiasi gani kwani TAMISEMI ndiko fedha nyingi na miradi mingi ya maendeleo inayowagusa wananchi moja kwa moja ilipo. Nani kati ya hawa anaweza kuisimamia TAMISEMI? Au kamati imedhoofishwa ili magamba waweze kupitisha hela kwa ajili ya kujiandaa na chaguzi zijazo?


Kaka, Kange Lugola angepewa hii kamati, nakwambia kungenyooka huko TAMISEMI, tatizo ni je, CCM wako tayari kumpatia ili aimbue serikali yao dhaifu? wanavyoona wao, Lugola ni zaidi ya mpinzani katika kutekeleza ilani ya chama....vinginevyo tuombe mungu tu kaka!
 
Mkuu naomba kupishana mawazo!

Kwa mfumo wa tanzania kiongozi ana nguvu sana ya ku-determine uelekeo wa maswala muhimu maana hakuna checks and balance system.
Utashi wa kiongozi una-dictate almost everything.
Kiongozi ni msemaji wa taasisi anayoiongoza

Kiongozi dhaifu ataendesha kwa ulegelege....Huhitaji ushahidi kujua Zitto ni kiongozi bora kuliko Cheyo linapokuja swala la maslahi mapana ya nchi.
Zitto ana aspiration za kuwa kuwa kiongozi mkuu siku za usoni kwa hiyo anajua atapimwa kwa matendo yake ya sasa wakati mzee Cheyo anasogeza siku.

Kwa hiyo si sahihi kwamba wote wanasukumwa na maslahi zaidi na kwamba unaweza kufikia malengo tarajiwa hata bila kuwa kiongozi....ila ukweli huu hauondoi ukweli mwingine kwamba kuna maslahi na fursa za ziada unapata pindi ukiwa kiongozi.

Mtazamo tuu....

Mkuu nakubaliana kwa kiwango fulani na mtazamo wako. Ni kweli kuwa mwenyekiti ni tofauti kwa kiasi fulani na kuwa mjumbe tu, na kuna mambo fulani yanayohitaji baraka zaidi za mwenyekiti wa kamati.

Unaweza ukawa sahihi kuwa Mh. Zitto anataka kutumia uwenyekiti wa kamati kama political ladder kwa maana kuwa atakuwa more active and ambitious. Hata hivyo hili haliwezi pia kumfanya Mh. Cheyo aonekane hafai. Natumaini utendaji kazi (uwenyekiti) wake haukuwa mbaya last time alipokuwa mwenyekiti wa kamati.
 
Back
Top Bottom