PGA punyeto achana nae... Kwani kabla hujaoa nani alikuwa anakufanyia kazi zako? Mnababaishwa na hii migubegube ya kisasa, hebu kuwa bize km humwoni vile uone km hajakupigia magoti kukuomba msamaha!
Ndio maana MKE WANGU staki afanye Nazi maana wengi wenu mnaliwa kiboga tu na kuwadharau waume zenu, bora nkuache nyumbani ukaliwe kwa dakika chache urudi na heshima ishike mkondo wake maana utakuwa huna kiburi cha kibarua na hivyo vijisenti!
tatzo la mabnt wa leo mnapenda mteremko... story yako yote ulikuwa unataka wanaume wasomi, wenye kaz nzuri, mara wakwenda nje kusoma lkn cc wabeba zege hamtutaki. pole yako/yenu mnaopaparika na shule za watu.
Huyo RC hamnazo.. hv unawezaje kumwandalia/kumwekea fursa mzee mwenye umri wa miaka 70(kwa mfano). pesa hzi ni sawa na pensheni kwa wazee wetu haijalishi walikuwa wakulima au lah..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.