Kweli usilolijua sawa na usiku wa giza, unajua maana ya Adhana,unajua faida anayoipata Muadhini,pole sana,lakini ukweli wako Utaupata siku ukija fumba macho,
Tunawazika ndugu zetu ili wasitunukie na harufu mbaya na wasiliwe na wanyama wakali,ndiyo maana ya kuzika,na ulefu wa kabuli, ni kimo cha mtu mzima na aunyoshe mkono wake.
Hebu niambie mnyama gani ataweza kufukua huo urefu
Watu wa CCM mna roho mbaya sana,na hiyo ndiyo sifa yenu,kila kitu mmechukua mnachoitaji nini sasa,hamna tofauti na mchawi,Lema amewakimbia aliujua mchezo wenu sasa mnalialia nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.