TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Kutokana na vyanzo mbalimbali vya vyombo vya habari inasemekana kikundi cha watu wajulikanao kama Al-shababu wamevamia mji wa Palma.
Lakini kuna nadharia mbalimbali zimeenea mitaani kwamba watu hao waliovamia Msumbiji au jamhuri ya watu wa Mozambique sio Al-shabab bali ni siasa za mabeberu na uvamizi wa mabeberu baada ya ugunduzi wa gesi eneo la kaskazini mwa mji wa Maputo zenye reserve estimate ya 425Billion Cubic meter na hule ugunduzi wa gesi 40km kutoka pwani ya mji wa Calbo Delgado
Wataaramu wa mambo mnasemaje kuhusu hili? Je ni ishu ya Al-shababu au Al-shababu ndio mabeberu?
Kutokana na vyanzo mbalimbali vya vyombo vya habari inasemekana kikundi cha watu wajulikanao kama Al-shababu wamevamia mji wa Palma.
Lakini kuna nadharia mbalimbali zimeenea mitaani kwamba watu hao waliovamia Msumbiji au jamhuri ya watu wa Mozambique sio Al-shabab bali ni siasa za mabeberu na uvamizi wa mabeberu baada ya ugunduzi wa gesi eneo la kaskazini mwa mji wa Maputo zenye reserve estimate ya 425Billion Cubic meter na hule ugunduzi wa gesi 40km kutoka pwani ya mji wa Calbo Delgado
Wataaramu wa mambo mnasemaje kuhusu hili? Je ni ishu ya Al-shababu au Al-shababu ndio mabeberu?