Inakubidi umuulize, nisubirie kwa muda gani siku 2 , wiki au mwezi? Akikujibu ni muda gani uumpe inakubidi umsubirie, wakati unasubiri unaendelea kumtext au kumpigia simu ya kumjulia hali kama vl umeamkaje, pole na kazi, vp umekula? Kama hivo yaani, hiyo pia ni njia ya kumvuta karibu na ww, ila...
Ulidumu nae kwa muda gani,? Lbd kuna kitu jambo ulimuudhi ndio maana kaamua kukaa pembeni! Maana wanaume tuna wivu mbaya sana, siku nyingine jaribu kumpigia kwa no nyingine uone kama hatapokea au atapokea, lkn nadhani atapokea kwani hatajua kama ni ww!
Je mawasiliano yapo? Au ndio hamuonani kbs? Labda alifariki? Maana siku hizi kumaliza mwaka ni shughuli kweli kweli! Hebu fuatilia hayo halafu utupe mrejesho wake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.