sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 117
- Thread starter
- #61
Hata ivo simhudumii ata kidogo,haombagi ata ela.BAKA.....,ukishindwa hivyo sitisha kumuhudumia utsona positive result
Hata ivo simhudumii ata kidogo,haombagi ata ela.BAKA.....,ukishindwa hivyo sitisha kumuhudumia utsona positive result
Tatzo nampenda roho inauma kumuachaBinafsi siwezi kukaa na demu bila kukwichikwichi maana ndo stareehehhe yenyewe iliyopo kwenye mahusiano mengine huwa mbwembwe tu!!
So mzee baba acha kuwa mtumwa kwa huyo manzi piga chini angalia upepo kwingine..maana mm mwenyewe nimetoka kumpiga demu chini muda sio mrefu maana ananilitea mapoz eti oooh mm sipendi romance sasa kama hupendi romance tutakuwa na mahusiano ya kama wapenzi au kaka na dada ?
Raha ya mahusiano mkunjane muonyeshane maujuzi na vile visauti ndo kabisaa....
Wale mnaocomment maswala ya ndoa kabla ya kukwichikwichi hayo mambo yamepitwa na wakati isee now tupo karne ya 21 so lazima tujuane kwanza ndo tuanze familia sio unaanza familia halafu partner wako chenga kabisa 6x6 au ndo yale unagegeda huku unaangaliwa kama mmefumaniwa vile.....
Duh,hili nalo neno.asilimia kubwa mabikra hawatoi kwa hiari, we endelea kusubiri wakipatikana wajuz wa mambo utakuta bwawa....
Daah!!Niliwahu kutana na hiyo kitu mkuu na mwisho wa siku bint akaja kufunguka huku akilia kuwa yeye ni muathirika daaa iliniuma sana af mtoto mkali sana na akanionyesha hadi dawa zake...alisema ananipenda sana ila hayupo tayari kuniua kwa uzembe wa wazazi wake....
Tuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
Oa kwanza ndio ulalamike kutopewa unyumba.Tuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
si utafute kwingne mkuuTuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
Hongera mkuu ila punguza kupayuka utapigwa shabaNdio Mimi mkuu... Kama unachoongea ni ukwel lazima ziwe nyingi
Tuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
Mada za kitoto toto na za kipuuzi kama hizi mbona zimekuwa nyingi sana sasa hivi huku JF ?
Mods hebu fanyeni kazi yenu kwa topics za namna hii, too much now!
Fanya kama unasusa, akikuuliza mwambie ni kweli nimesusa kwa vl hunipi mgegedo! Yy mwenyewe atanyooka tu, sure I'm telling you!Ko niachane nae?