Umri na mwili ni sawa?

Umri na mwili ni sawa?

Huyu msenegal mrefu ana miaka 12 anacheza klabu ya watoto ya sevilla
tapatalk_1560976869202.jpeg
 
Huyo ni Joseph Minala mchezaji wa Seie A, hyo picha aliyo na legend Antonio Candreva hapo alikuwa 17 yrs old. Hii nyingine hapo amekuwa kidogo sahizi ana 22. So msishangae umri kuwa tofauti na muonekano
Screenshot_20190619-232809.jpg
Screenshot_20190619-232436.jpg
 
Ila mkuu sishangai sana japo mm nipo visevesa...umri wangu umeenda ila nina mwili mdogo mfupi alaf sura nayo ndo ivo imegoma kukomaa japo ndo ivo miaka inakwenda...in general naonekana mtoto kabisa ata shule ya msingi naweza rudi
Yaani kwa muonekano mwili umezeeka umri bado, kaz kweli kweli!
 
Mimi nina umri wa nusu karne, lkn muonekano wangu utadhani nina miaka 35! Watu wengi huwa hawaniamini kbs!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom