Recent content by macho89

  1. M

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Hatar is tomorrow
  2. M

    Msaada tatizo la taxi dume

    Salam ndugu. Nina mzee wangu ambaye ana tatizo la tezi dume. Nahitaji kujua gharama za upasuaji kwa wanaofaham. Ningependa kujiandaa kwani hali ya kifedha sio nzuri na hana bima. Natanguliza shukrani.
  3. M

    Jifunze kitu hapa - TRUE STORY

    Mungu ndo Kila kitu mkubwa, funga kwa imani utapata wepes ....
  4. M

    Kujiajiri kwa kutumia mtandao

    N my¢(we/&&&
  5. M

    Msaada: Mjazito kuanguka uwani kuna shidada yoyote?

    Habari wakuu, Rafiki yangu ni mjazito na siku ya Leo kaniambia alipokuwa anaingia kuoga asubuhi kaanguka kwa bahati mbaya bafuni ila hajaumia. Je kuna tatizo ama shida yoyote? Usiku mwema.
  6. M

    Je Computer/Laptop yako ina shida yoyote? wasiliana nasi upate suluhisho sasa.

    Mie tatizo pc yangu ni nzitoo.... Inalord vitu taratibu msaada
  7. M

    Riwaya: HOFU

    Wow
  8. M

    kwa mwenye uhitaji laini za miamala

    Nataka tigopesa... Afu kuwa serious
  9. M

    kwa mwenye uhitaji laini za miamala

    Me nahitaji ndugu.....
  10. M

    Mchumba nimempata ila...!!!

    Mi naona ni bora ukajipa muda wa kumchunguza kwanza.... Alafu istoshe ni bado Mdogo huwezijua akifika 25 huko atakubadilikia na kuurudia huo mchezo wake..... Navyojua hyo kitu MTU hawezi kuacha ivi ivi.... Pia nakuomba hebu mshirikishe Mungu kwenye hilo
Back
Top Bottom