Salam ndugu.
Nina mzee wangu ambaye ana tatizo la tezi dume. Nahitaji kujua gharama za upasuaji kwa wanaofaham.
Ningependa kujiandaa kwani hali ya kifedha sio nzuri na hana bima.
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu,
Rafiki yangu ni mjazito na siku ya Leo kaniambia alipokuwa anaingia kuoga asubuhi kaanguka kwa bahati mbaya bafuni ila hajaumia.
Je kuna tatizo ama shida yoyote?
Usiku mwema.
Mi naona ni bora ukajipa muda wa kumchunguza kwanza.... Alafu istoshe ni bado Mdogo huwezijua akifika 25 huko atakubadilikia na kuurudia huo mchezo wake..... Navyojua hyo kitu MTU hawezi kuacha ivi ivi.... Pia nakuomba hebu mshirikishe Mungu kwenye hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.