Recent content by machafuko sp

  1. M

    Changamoto kwa HESLB : Baadhi ya wanufaika kufikiria kuacha kazi

    Hawakufikiria vizuri kuongeza makato pasipo kufanya upembuzi yakinifu Wa mishahara kwani MTU anajikuta amebaki na laki2 au moja kwa mwezi? Ataendesha VP familia
  2. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Naomba kujua njia za kufanya ili kufungua duka la dawa muhimu za binadamu. Mimi ni mhitimu wa diploma ya Nursing napenda nianze kujiajiri sasa.
  3. M

    kuhusu windows phone..!

    Dah hata mm ni mwathirika Wa hilo jambo ninayo yangu mwaka sasa! Tatizo ni kuwa android os ni free so kila MTU anaweza weka app yake ndio maana utakuta kwenye play store Mara BASHITe WeNU na app nyingine but windows app uki upload app lazima utambulike na Microsoft company na waifanyie proof...
  4. M

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    Maelezo ni mazuri sana tena yanaeleweka vizuri ! Tatizo ni navipateje hivyo vitu kutoka nilipo MF mm nipo Dodoma? Na je kama mzigo ukipotea namuulizia nani ? Na nasaidiwa vipi?
  5. M

    KUJIUNGA NA GOOGLE

    Naipateje hiyo mkuu
  6. M

    KUJIUNGA NA GOOGLE

    Msaada jinsi ya kujiunga na google ili uweze kupost vitu online na ww kujiingizia pesa kupitia hizo content zako mfano nikiweka video za kuchekesha ili mtu akiangalia online nakuwa najiingizia pesa
  7. M

    English grammar book

    Jamani naombeni mwenyekitabu kizuri cha English grammer anitumie hapa tusaidiane kusoma hii lugha! Au hata jina la kitabu kizuri cha grammar pia nikatafute madukani
Back
Top Bottom